Jamaa yenu yupo hoi ile mbaya

Jamaa yenu yupo hoi ile mbaya

Mr Chin

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
4,625
Reaction score
1,024
11947474_848854625196658_3639520841253830061_n.jpg
 
Tena bora uwachukie maana wakishinda uchaguzi ujue zabuni zote zitachukuliwa na utitiri wa kampuni zao kuanzia bandari, meli, madini, ardhi, ndege, gesi na kila kitu tena watafunga mikataba ya miaka Mia na watoto wenu wote wataishia kupangiwa mishahara na watoto wao hata kama watasoma vipi lazima wapangiwe ajira na wao. Tena watoto wenu hawatamiliki chochote milele. Leo mwanao yuko huru kuibuka mtu yeyote bora juhudi zake. Tatizo wavivu wengi wanaoamini iko siku watalishwa kama ndege wakati ndege wenyewe huruka mwendo mrefu kusaka chakula mara ingine wanapatwa hata na masaibu ya ajali. Ee Mungu tunusuru na janga hili maana hizi ni dalili za shetwani katua rasmi tz. Amen.
 
Hahahah umeanzisha thread mbili zote kumhusu Lowasa.... hivi nani anamnadi Magufuli?
 
hilo pozi tu!!ni sawa na huyo aliyeweka mikono tumboni!!Lowassa woyeeeeeee hakuna kulala!
 
hao ni wauza viatu..angalia hayo mabegi yao.. la pili picha yako ni photo shop
 
kuna dalili za mtu kudondoka jukwaani hapa.
freeman msamehe huyu mzee aisee unakomaa naye tu.
 
Nimemuona akikimbilia helcopter jamaa amewatoa shoo pale alipokimbia mita 20 kuifuata helcopter sasa yupo fit mtakoma kumbe alikua na stress tu kwa mbowe na ukawa atapona tu
 
Back
Top Bottom