Jamaa yangu ananuka mdomo sana. Nitumie njia gani kumfikishia ujumbe?

1. Clinic ya Meno Wana mashine ya kubandua huo ukoko 120k tsh.

2. Atumie Hydrogen Peroxide 3% ndo kazi yake kuondoa huo ukoko. Anaweka kifuniko kimoja au 2 mdomoni Kisa anasukutua (ahakikishe isiende kooni) dk 5 Kisha anatema na kupiga mswaki kawaida vitabanduka. Kama ana uwezo anaweza kufanya Kila asubuhi na kabla ya kulala Kwa wiki Moja.

Apunguze Matumizi ya sukari na soda. Asukutue na maji safi Kila baada ya kutumia bidhaa zenye sukari.
Mkuu nimepata hydrogen peroxide 6% nayo inafaa inatumikaje hii?
 
Nilipata kuwa na rafiki kama huyo, ilikuwa ni changamoto sana wakati wa kupiga story hasa wakati wa kazi za pamoja maana tulikuwa tunafanya kazi ofisi Moja.

Nilichofanya ni kwenda hosp moja wana deal na vinywa na meno maeneo ya Philips Arusha nikamweleza Dr akanambia ni vema niende nae pale.... what i dd, nikamwambia kesho yake anisindikize nina tatizo la jino so kwa kuwa tulikuwa tayar tumepanga na Dr. tulipofika pale mi niliingia nikachekiwa kwa kuzuga nilipotoka nikamwambia Dr akamwambia Hello njoo na weee tukuchek bana unajua ugonjwa sio lazima uje ukishidwa kutembea......Nashukuru jamaa alipata tiba na hadi sasa ni mzima hatoi ile fumes mbaya yoyote tena! Baadae nikimweleza what i dd nalifurahi sana na alikiri ni jambo lilikuwa linamtatiza maana madogo walikuwa wanamweleza live anapoongea nao.

Kama upo na nia njema ya kumsaidia jaribu njia hiyo nasikia tatizo lipogo kwenye mfumo wa kinywa kwa ujumla wake na lipo ndani sio suala la kupiga mswaki pekee!!
Ivi mtu binafsi unaweza kujujua kuwa una Hilo tatizo la kunuka mdomo bila kuambiwa na watu?
 
Nilipata kuwa na rafiki kama huyo, ilikuwa ni changamoto sana wakati wa kupiga story hasa wakati wa kazi za pamoja maana tulikuwa tunafanya kazi ofisi Moja.

Nilichofanya ni kwenda hosp moja wana deal na vinywa na meno maeneo ya Philips Arusha nikamweleza Dr akanambia ni vema niende nae pale.... what i dd, nikamwambia kesho yake anisindikize nina tatizo la jino so kwa kuwa tulikuwa tayar tumepanga na Dr. tulipofika pale mi niliingia nikachekiwa kwa kuzuga nilipotoka nikamwambia Dr akamwambia Hello njoo na weee tukuchek bana unajua ugonjwa sio lazima uje ukishidwa kutembea......Nashukuru jamaa alipata tiba na hadi sasa ni mzima hatoi ile fumes mbaya yoyote tena! Baadae nikimweleza what i dd nalifurahi sana na alikiri ni jambo lilikuwa linamtatiza maana madogo walikuwa wanamweleza live anapoongea nao.

Kama upo na nia njema ya kumsaidia jaribu njia hiyo nasikia tatizo lipogo kwenye mfumo wa kinywa kwa ujumla wake na lipo ndani sio suala la kupiga mswaki pekee!!
Philips maeneo gan boss, nataka nimpeleke mtu
 
Pamoja na kusema ni ugonjwa wa kinywa mimi nimegundua watu wengi huwa wanadhani kupiga mswaki ni kung'arisha meno basi. Watu hawapigi mswaki kwenye ulimi na kwenye gums ambazo zinaficha vyakula na aina zote za mabaki. Ulimi una utando ukizidi kukaa sana unanuka sana.
Yawezekana rafiki yako anapiga meno haingii ndani kuchokonoa na hapigi gums na ulimi kutoa ukoko. Mimi naona angeanzia pale kama yumo humu anasoma huu uzi.
 
  • Thanks
Reactions: THT
Back
Top Bottom