ogm12000
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 304
- 86
Kuna jamaa mmoja alikuwa ni mtu mwenye mikosi sana kwa kifupi kila alitendalo halifanikiwi na kijiji kizima kilikuwa kina mfahamu kwa hilo. Jina lake ni Kitenya.
Basi siku moja akasafiri kwa meli toka mtwara kuelekea dar..
wakiwa njiani mara meli ikaanza kuyumba kutokana na mawimbi makali..
Abiria wakasema inaonekana huku ndani kuna mtu mwenye mkosi.. Wakasema itabidi tupige kura na mwenye mkosi atoswe majini
Wakapiga kupiga kura na kura zika mwangukia Kitenya.
Mazungumzo kati ya kitenya na wasafiri yakaanza hivi;
Kitenya: Mimi sina mkosi
Wasafiri: Ndio unamkosi
Kitenya: Nipeni chance ya mwisho
Wasafiri: Sawa
Kitenya: Nitaamuliza mmoja wenu swali rahisi sana akiweza kutoa jibu sahihi mimi mtanitosa majini otherwise yeye.
Wasafiri: mmh ok
Kitenya: akamchagua mmoja wa wasafiri kisha akamuuliza hivi; KENDE zangu na zako tukizijumlisha tunapata ngapi??
Jamaa: NNE
Kitenya: Akashusha suruali na kuonya kengele zake na kusema umekosa MIMI NINAZO TATU JUMLA NI TANO
Jamaa : wewe ndio umekosa akashusha suruali na kusema ni NNE mimi nina Kende MOJA
Wasafiri: Haaaaaaaaaaaa kisha wakamtosa majini
NOTE: kila mwanaume ana kengele mbili.
Basi siku moja akasafiri kwa meli toka mtwara kuelekea dar..
wakiwa njiani mara meli ikaanza kuyumba kutokana na mawimbi makali..
Abiria wakasema inaonekana huku ndani kuna mtu mwenye mkosi.. Wakasema itabidi tupige kura na mwenye mkosi atoswe majini
Wakapiga kupiga kura na kura zika mwangukia Kitenya.
Mazungumzo kati ya kitenya na wasafiri yakaanza hivi;
Kitenya: Mimi sina mkosi
Wasafiri: Ndio unamkosi
Kitenya: Nipeni chance ya mwisho
Wasafiri: Sawa
Kitenya: Nitaamuliza mmoja wenu swali rahisi sana akiweza kutoa jibu sahihi mimi mtanitosa majini otherwise yeye.
Wasafiri: mmh ok
Kitenya: akamchagua mmoja wa wasafiri kisha akamuuliza hivi; KENDE zangu na zako tukizijumlisha tunapata ngapi??
Jamaa: NNE
Kitenya: Akashusha suruali na kuonya kengele zake na kusema umekosa MIMI NINAZO TATU JUMLA NI TANO
Jamaa : wewe ndio umekosa akashusha suruali na kusema ni NNE mimi nina Kende MOJA
Wasafiri: Haaaaaaaaaaaa kisha wakamtosa majini
NOTE: kila mwanaume ana kengele mbili.