Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 70,985
- 93,995
you are more than that ma bro...........
definately....
you are more than that ma bro...........
definately....
wamwandalie na toothpick kabisa!!!Alikuwa anafanya nini huyo!? nahisi akitoka hapo atajilamba midomo na kutoa katabasamu kapaana
kwani vinywele vyaweza ng'ang'ania menoni?wamwandalie na toothpick kabisa!!!
miaaaaaaaaa.Nadhani kupiga deki kwa staili hiyo ya binti alivyokaa haiwezekani. Kidevu cha jamaa kitabanwa kwenye mapaja na hatafikia.
Hii nimeijaribu sasa hivi hapa na nimeshindwa kuifikia.
mbona bi harusi kaziba uso?
Nilishashuhudia hii. Bwana harusi akiibuka huko ana gstring kwenye meno. Sijui ni tamaduni gani hii! Heri sie tunajivalia maskintite machafuuu, akisogea hapo repulsive pangent smell inamkimbiza. Kongosho njoo uone
mkuu kama hazijanyolewa barabara zinaweza kung'ang'ania kwenye meno!kwani vinywele vyaweza ng'ang'ania menoni?
Angeambiwa amsujudie aliyemuumba ungesikia ooh niko bize, ooh nipo semina, ooh leo sijisikii vizuri, yaani sababu kibao.Jamaa anausujudia utukufu wa bi harusi
Megawat unaitafuta ban wewe. Yaani mtu aimbe na maiki ya watu jamaa wakuangalie tu?Hizo mila kwa baadhi ya makabila ya Africa Magharibi hasa Nigeria, ni sehemu ya kuuthibitishia umma kwamba 'hiyo ndo ndoa yenyewe na atailinda' mpiga picha alipaswa kuweka picha ya pili, bwana harusi anakaa kwenye kiti alafu bibi harusi anapiga magoti anshika juu ya 'sehemu' ya mwanaume (bwana harusi) kwa mikono miwil kwa dakika kidogo. Makofi na vigelele vinapigwa. Natafuta picha kama hii kwa mwananmke kushika sehemu nyeti za mwanamke niziweka hapa.
Sisi mila yetu inaagiza mwanaume wakati unapooa pete yako lazima uifiche kwenye kiberiti cha mkeo, kama kiberiti cha mkeo kitaruhusu pete kuanguka basi ndoa hiyo ni batili kwakuwa huyo dada atakuwa ametumika sana.