Jamaa kampa mimba Mama Mkwe,

Hahaha ukinaswa vilivyo hata miguu hautorusha......kwa hiyo simlaumu jamaa, ila kumbukeni kuna raha pia, kuendesha, 'semi' tela, kulikoni 'viaisitii'. Kusikilizia mlio wa gari kubwa likichanachana kitonga, si mchezo.
 
Duuuh, hapo sina cha kishauri zaidi ya kusema kuwa Mungu awape Roho zenye ustahimilivu. Bifu kati ya mama na mtoto(Wameshare mme), huku bifu kati ya baba mkwe na mtoto
 
Kuna vitu ukishindwa kusikitika unacheka kwa uchungu.

Sasa wakiwa kwenye umalaya mama mkwe alikuwa analia vip?...anamuita baby, my love, mwanangu ama?😀😀😀
Haha..

Kupanga ni kuchagua .in jiwez voice

Mahaba ya Tanga hayo ..karibu Tanga luckyline
 
Ndo wewe ulie mtwanga mimba mkweo,waoe tu wote!
 
Ama kweli dunia inakwenda kwa spidi kali sana mwisho wa dunia tutaona mengi sana
 
Uongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…