Shine
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 11,483
- 1,364
mwita25 hajalipwa hela zake za mwezi uliopita,amegoma kuingia jf
hela za kupamba maovu ya ccm?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mwita25 hajalipwa hela zake za mwezi uliopita,amegoma kuingia jf
Hata mi natukanaga
humu chumbani mwangu
hasa umeme ukikatika
halafu joto linisumbue
kisha sina kitu mfkoni
weeee anatukanika vibaya[/Q
UOTE]
duh km nakuona vile umeme ukikatika halafu uwepo na pesa unavyotundika gwanda zako ukatoe hasira baa.
He he hapa naandika jamaa pembeni hapa anapiga cm sijui kwa nani analalamika umeme umekatika hivyo leo harudi kwake mpaka umeme urudi.
Kazi ipo
ALAA ANASUNGIZIA UMEME ANAENDA KWA KIMADA SIO?
no nahisi kweli sinza hii umeme kizumgumkutiALAA ANASUNGIZIA UMEME ANAENDA KWA KIMADA SIO?
mi ninacho mpendea ni utalaam wake wa kupiga ngoma.nenda pale ijumaa jioni kuanzia saa 11.usafiri ukiwa mgumu huwa ananiliwaza kwa utalaam wake wa kupiga ngoma.furrrruuuu...burdan.mia
sio vizuri kuandika matusi jukwaani. jirekebishe mkuu.Hacha atomboke 2 kwn anayoyasema ni ya uongo!.nipeni ratiba zake plz me ni prodyuza nataka nimpe ofa ya kutoa single ya hayo anayoyaongea iwe kw njia ya muziki
sio vizuri kuandika matusi jukwaani. jirekebishe mkuu.
unachezaga au unatoa mimacho tuu??
Uliwahi kuona mapadre wanatukana?
ni mwita25, katumwa kupima hali ya hewa
Atakuwa padre huyo...
[video=youtube_share;g65qd5jbakM]http://youtu.be/g65qd5jbakM[/video]Atakuwa padre huyo...
very true, mwanaume mwenye masaburi makubwa ni Dr. Masaburi tu ambaye ni mwanachama muhimu sana kwenu wa CCM (yaani chama cha masaburi)Uwezo wako wa kufikiri unaenda sambamba na udogo wa masaburiyo
wakuu kuna jamaa kwa muda mrefu kweli amekuwa akimwaga matusi kwa j.k kwa style ya kuhubiri, utasikia kikwete kichaa, kikwete ni joka, kikwete mpumbavu, hili joka mungu ataliondoa.
Kwa wanaopita posta mpya kuanzia saa 11 jioni watakuwa wanamfahamu huyu jamaa.
Wanaomfahamu huyu jamaa kitambo wanasema kipindi cha nyuma alikuwa hapo hapo posta, lakini akimuandama shehe yahya na kumsema ile mbaya.sasa baada ya yahya kufa ndo kaanza kumshambulia kikwete.