Kaka Kapo
JF-Expert Member
- Nov 23, 2012
- 547
- 350
Nlikuwa naangalia sinema flani ya mapenzi (love story) ndani kunamacharacter wawili mmoje ke mwingine me. Katika kuishi kwao wakatofautiana wakawa hawako kwenye hali nzuri kwa kipindi kifupi ndani ya kipindi hicho wakiwa kwenye mvurugano ke akawa na mawasiliano na jamaa mwingine wakafikia point wakavunja amri ya sita. Ule mvurugano ukaisha then wapenzi hawa wakarudia katika hali ya kawaida me akabain kuna mawasiliano kati ya ke na Mchizi wa pembeni akachunguza chunguza akakuta ujumbe kwny simu ya ke unamwomba ke aende kwa Mchizi ths tym awe kajianda ili Wale tunda vizuri coz last tyme hawakuenjoy it was quick and ya woga! Me akamuliza ke ke akakubali akasema ni kweli alienda kwa jamaa sababu kuu nikumweleza hardtime anazoface akiwa ofisini na hayuko kwenye goodterms na jamaake kilichotokea hakuplan and anajutia na pia anaomba msamaha na hata rudia tena na anampenda sana! Baada ya kuambiwa yote hayo jamaa akampigia simu mhusika wa pembeni jamaa akamwambia kilichotokea pale hata yeye hakielewi na anaomba asamehewe na kaahidi kutomtafuta tena ke. Akamsisitiza jamaa Kuwa asimwache ke coz kweli ke anampenda! Me nae akamuuliza jamaa kama anampango nae wowote amwachie jamaa akajibu ni kweli anawaza kitu kama hicho lakini baada ya kutokea kilichotokea binti amekataa na amekuwa akisisitiza anampenda mpenzi wake so amweshimu! Story ni ndefu tuifupishe kwa kusema me aliamua kumsamehe ke wakaendelea. Nnachojiuliza je hali kama hii katika halialisi inawezekana au ndo kimuvi muvi? Si vibaya tukachangia moja mbili katika kujifunza kwa scenario kama hizi