Jama hii inawezekana katika real life situation?

Jama hii inawezekana katika real life situation?

Kuna hii kitu "the great of gatsby"...ichekini afu mseme
Bahat nzur nakutana na hii thread na comment unayogusia novel nzur nmewahi kuisoma, nataman huu mjadala urudi tena! Basi baada ya kusema hayo....

Hii Ni novel imetunzwa na Fitzgerald marehem Kwa sasa, nliipatia lkn sijamalza, movie yake sijaangalia, labda kama una link weka hapa mkuu nasisi tuipitie Kiwatengu
 
Dah huo msamaha unawezekana kwenye movie tu. Sometym Ignorance is a choice
 
Niliwahi jaribu hii,aisee huku mbele ya safari sijui unajionaje?zaidi ya fala yani.Nimemtelekeza yule dada hata haelewi.
 
Join My new group [HASHTAG]#MoViEs[/HASHTAG]

Join group chat on Telegram

Read the pinned msg plz... The grp is yet new, so we're working on adding members to nourish it... Enjoy movies here there!!
 
Kuna mtu wangu wa karibu alitokewa na mkasa unaendana na muvi hii, "mkewe katoka kwenda bar kupata moja baridi, moja moto bahati nzuri au mbaya baada ya kulewa akabanjuliwa na mkware mmoja, aliporudi home roho ilimsuta mpaka akamwambia mumewe kuwa alitoa uroda kwa mkware hata hawafahamiani.... mwisho wa siku alisamehewa! "..
Ni wachache wanaweza hivi...
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom