FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,777
Vip kuhusu umaskini?jamani tuacheni masikhara tupo hapa JF TUBAPIGA POROJO ILA WATANZANIA WENZETU HUKO VJIJIN NI MASKINI SANA,TEMBELEENI RURAL AREAS JAMANI MSIDANGANYANE HAPA JF
Mimi nipo kijijini. Hakuna sehemu bora ya kuishi leo hii Tanzania kama kijijini, kama kuna masikini wa kutupwa kijijini basi huyo amma ana matatizo ya akili amma ni mvivu wa kutupwa.
Vijijini tunatafuta watu wa kufanya kila aina za kazi hatupati, kila mmoja anasema yupo bize na shughuli zake. Nyie mliokosa kazi mijini ni wakati muafaka badala ya kuendelea kugongeana fegi, mje vijijini kuna kazi zisizokwisha huku.