Jakaya Kikwete na msafara mkubwa

Jakaya Kikwete na msafara mkubwa

Ndio mnavyodanganywa hivyo mtaani?

Hivi unajua kuwa rais aliyopo madarakani au msataafu akipata tatizo lolote awapo safarini nje ya mkoa anaoishi lazima RPC wa mkoa husika awe responsible?

Na je RPC huyo anatakiwa kuwa na gari ngapi za ku escort msafara wa raisi?

Na je RPC anaweza kuusindikiza na kuusubiria msafara wa rais alafu RTO awe kalala tu na mkewe nyumbani?

Hopital ya mkoa watajibu nini endapo raisi atapata ugonjwa wa ghafla na kukosa huduma kwa kutokutoa ambulance?

Nimekufungua macho kidogo tu but ukiona anatumia gari 10 jua hana mambo mengi la sivyo kwa uchache ni gari 15+ zinahitajika kuwepo kwenye msafara
We jamaa umejibu kiccm Sana yani
 
Haya mambo ya ulinzi huwa hayanaga muafaka kama mada za kidini tu. Kama mtu alishakuwa Rais mstaafu ni haki yake kulindwa. Pia tukubali nyakati hubadilika. Kama hali sio shwari lazima ulinzi uwe mkali zaidi. Watu wanaojua tuko level gani ya usalama wapo ambao tunawalipa kupitia kodi zetu. Acheni wafanye kazi zao.
 

Ulinzi wake uliongezwa baada ya hiyo mada.

Mara ya kwanza kuona anatembea na visible escort ya gari la polisi ilikuwa kwenye msiba wa Mrema.
 
Kama Makamu wa Rais au Waziri Mkuu ana msafara mrefu,Ulitaka Rais Mstaafu asiwe na msafara?
 
Kwa upumbavu huu ,nchi hii ina safari ndefu ya kujikomboa maana naona middle class karibu wengi wameoza kichwani, President Mandela baada ya kustaafu msafara wake haukuzidi 3 cars (including police sweep car)na hata wakati wanampeleka hospital, Ambulance yake ilipata breakdown na ilichukua muda msaada kumfikia,President H&H misafara yake haizidi 4 cars!,President CR misafara yake haizidi 4 cars, President wa Botswana msafara wake 3 cars!!,Tanzania tumekosea wapi?
Kwahiyo unataka treatments za rais wastaafu wa SA ziwe sawa na za wastaafu wa Tz?
 
Toka mwaka mpya umeanza nipo kusini mikoa ya Lindi na Mtwara napambana na maisha yangu yakujiandaa na uzee wangu, maana kula na tafuna kabisa mfupa ukiwa bado na meno mdomoni, hapa maana yangu nikufanya kazi kwa nguvu zote nakujiandaa kwa ajiri ya uzee!

Basi bwana, jana nikiwa pale Lindi hospitali ya Mkoa, Sokoine! Nikaona msururu wa magari yakipanda kwenda kule juu Mtanda! Polisi wa usalama barabarani wakizuia magari ili ule msafara uweze kupita! Basi bwana kuna jamaa akaniambia huyo ni Kikwete yupo hapa ana siku zaidi ya 3!

Leo asubuhi mida ya saa tano hivi,nikaanza safari yakurudi zangu Dodoma! Nikiwa njiani dereva aliona gari ya polisi inakuja kwa kasi mno,ikiashiria tupishe njia, bila hiyana dereva alipisha! Ukapita msururu wa magari yakiwa yanatembea kwa mwendo kasi sana!

Basi tukafika pale SOMANGA! Tukayaona yale magari yakiwa yamesimama kwa pembeni kuna watu wengi, nami nikatupa jicho nikamuona Mzee Kikwete akinunua samaki pale, sababu pale ni sehemu ya kula chakula,tukasimama pale,tukala na Mzee Kikwete aliingia hadi ndani ndani kabisa kununua samaki!

Basi sisi tukaanza safari tukawaacha wao pale, kabla hatujamaliza mpaka wa Lindi na Pwani, tulimkuta pale RPC wa Pwani akisubiri msafara ule aupokee na RPC wa Lindi arudi zake Lindi!

Sasa swali langu, kwa nini Mzee Kikwete ana msururu wa magari mengi vile?? Yaani zilikua gari zaidi ya 10! Na zote ni V8 VX na gari yake Nissan VX zile walizopewa marais wastaafu!
the present shadow presidaaaaa!!!!! wewe ni aje arifu,nusaga ugoro siku mojamoja upige chafya!!
akili iote aisee!!!
 
Toka mwaka mpya umeanza nipo kusini mikoa ya Lindi na Mtwara napambana na maisha yangu yakujiandaa na uzee wangu, maana kula na tafuna kabisa mfupa ukiwa bado na meno mdomoni, hapa maana yangu nikufanya kazi kwa nguvu zote nakujiandaa kwa ajiri ya uzee!

Basi bwana, jana nikiwa pale Lindi hospitali ya Mkoa, Sokoine! Nikaona msururu wa magari yakipanda kwenda kule juu Mtanda! Polisi wa usalama barabarani wakizuia magari ili ule msafara uweze kupita! Basi bwana kuna jamaa akaniambia huyo ni Kikwete yupo hapa ana siku zaidi ya 3!

Leo asubuhi mida ya saa tano hivi,nikaanza safari yakurudi zangu Dodoma! Nikiwa njiani dereva aliona gari ya polisi inakuja kwa kasi mno,ikiashiria tupishe njia, bila hiyana dereva alipisha! Ukapita msururu wa magari yakiwa yanatembea kwa mwendo kasi sana!

Basi tukafika pale SOMANGA! Tukayaona yale magari yakiwa yamesimama kwa pembeni kuna watu wengi, nami nikatupa jicho nikamuona Mzee Kikwete akinunua samaki pale, sababu pale ni sehemu ya kula chakula,tukasimama pale,tukala na Mzee Kikwete aliingia hadi ndani ndani kabisa kununua samaki!

Basi sisi tukaanza safari tukawaacha wao pale, kabla hatujamaliza mpaka wa Lindi na Pwani, tulimkuta pale RPC wa Pwani akisubiri msafara ule aupokee na RPC wa Lindi arudi zake Lindi!

Sasa swali langu, kwa nini Mzee Kikwete ana msururu wa magari mengi vile?? Yaani zilikua gari zaidi ya 10! Na zote ni V8 VX na gari yake Nissan VX zile walizopewa marais wastaafu!
hivi alishastaafu urais mstaafu?....ukishakuwa rais hizo previlege mpaka ufe. tuvumilie tu. Hapo bado hujaona msafara wa ndugai-spika mstaafu
 
9 January 2023
Tendaguru, Lindi

KIKWETE ATAKA WATAFITI WA CHUO KIKUU KUSHIRIKI TAFITI ZA MALIKALE ZA TENDAGURU

Na Mwandishi Wetu, Tendaguru
1673613944079.png

Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amewataka watafiti wa masuala ya Malikale kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na Wizara ya Maliasili na Utalii kupitia Taasisi ya Makumbusho ya Taifa la Tanzania kushirikiana katika kufanya tafiti katika eneo la Tendaguru, mkoani Lindi yalipogundulika masalia ya Dainosaria ili kubaini endapo kuna masalia zaidi au aina nyingine ya Dainosaria.

Mhe. Dkt Kikwete ambaye pia ni Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ametoa agizo hilo (Januari 9) alipotembelea eneo la Tendaguru kujionea kazi ya utafiti inayoendelea kufanywa na wataalamu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kwa kushirikiana na wataalamu wa Makumbusho ya Taifa la Tanzania.

Mhe. Dkt. Kikwete amewapongeza wataalamu hao kwa kazi ambayo wameanza kuifanya ambapo wamegundua masalia mengine ya Dainasoria hao na kuwataka kuendelea kufanya utafiti kwa kushirikiana ili kugundua masalia mengi zaidi ambayo yanaweza kutunzwa na kuwa kivutio cha utalii nchini.

“Muendelee kufanya utafiti katika eneo hili ili muweze kupata masalia mengi zaidi ya Dainasoria au aina nyingine inayofanana na waliogundulika awali ambayo yakikusanywa na kuhifadhiwa vizuri yatakuwa kivutio cha utalii wa nchi yetu” amesema Mhe. Kikwete.

“Sisi kama Chuo Kikuu cha Dar es Salaam tupo tayari kushirikiana na Makumbusho ya Taifa katika kufanya tafiti mbalimbali katika eneo hili,” Mhe. Dkt Kikwete.

Mnamo mwaka 1908 Wajerumani walifanya tafiti katika eneo hilo la Tendaguru na kugundua mabaki ya mifupa ya Dainasoria hivyo, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amewataka watafiti waendelee kufanya tafiti zao ambazo wamekwisha kuzianza na kugundua masalia mapya na kwa kufanya hivyo watagundua masalia mengi zaidi.

Awali, akitoa salamu za Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi. Dkt. Pindi Chana, Mkurugenzi Mkuu wa Makumbusho ya Taifa, Dkt Noel Lwoga alimshukuru Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Mhe. Dkt Jakaya Kikwete kwa Kutembelea eneo la Tendaguru na kusema kuwa wao kama Wizara ya Maliasili na Utalii kupitia Makumbusho ya Taifa la Tanzania wako tayari kushirikiana na watafiti kutoka Chuo kikuu cha Dsm.
More info:

THE TANZANIA'S DINOSAUR FOSSILS DISPLAYED IN HUMBOLDT MUSEUM IN BERLIN GERMANY​



The fossils collected by expeditions to what was then German East Africa (Tendaguru), include the Brachiosaur specimen on show at the Humboldt Museum in Berlin
 
Toka mwaka mpya umeanza nipo kusini mikoa ya Lindi na Mtwara napambana na maisha yangu yakujiandaa na uzee wangu, maana kula na tafuna kabisa mfupa ukiwa bado na meno mdomoni, hapa maana yangu nikufanya kazi kwa nguvu zote nakujiandaa kwa ajiri ya uzee!

Basi bwana, jana nikiwa pale Lindi hospitali ya Mkoa, Sokoine! Nikaona msururu wa magari yakipanda kwenda kule juu Mtanda! Polisi wa usalama barabarani wakizuia magari ili ule msafara uweze kupita! Basi bwana kuna jamaa akaniambia huyo ni Kikwete yupo hapa ana siku zaidi ya 3!

Leo asubuhi mida ya saa tano hivi,nikaanza safari yakurudi zangu Dodoma! Nikiwa njiani dereva aliona gari ya polisi inakuja kwa kasi mno,ikiashiria tupishe njia, bila hiyana dereva alipisha! Ukapita msururu wa magari yakiwa yanatembea kwa mwendo kasi sana!

Basi tukafika pale SOMANGA! Tukayaona yale magari yakiwa yamesimama kwa pembeni kuna watu wengi, nami nikatupa jicho nikamuona Mzee Kikwete akinunua samaki pale, sababu pale ni sehemu ya kula chakula,tukasimama pale,tukala na Mzee Kikwete aliingia hadi ndani ndani kabisa kununua samaki!

Basi sisi tukaanza safari tukawaacha wao pale, kabla hatujamaliza mpaka wa Lindi na Pwani, tulimkuta pale RPC wa Pwani akisubiri msafara ule aupokee na RPC wa Lindi arudi zake Lindi!

Sasa swali langu, kwa nini Mzee Kikwete ana msururu wa magari mengi vile?? Yaani zilikua gari zaidi ya 10! Na zote ni V8 VX na gari yake Nissan VX zile walizopewa marais wastaafu!

Huyo ndio mwenye nchi sasa huyo mwingine ni mwakilishi
 
Toka mwaka mpya umeanza nipo kusini mikoa ya Lindi na Mtwara napambana na maisha yangu yakujiandaa na uzee wangu, maana kula na tafuna kabisa mfupa ukiwa bado na meno mdomoni, hapa maana yangu nikufanya kazi kwa nguvu zote nakujiandaa kwa ajiri ya uzee!

Basi bwana, jana nikiwa pale Lindi hospitali ya Mkoa, Sokoine! Nikaona msururu wa magari yakipanda kwenda kule juu Mtanda! Polisi wa usalama barabarani wakizuia magari ili ule msafara uweze kupita! Basi bwana kuna jamaa akaniambia huyo ni Kikwete yupo hapa ana siku zaidi ya 3!

Leo asubuhi mida ya saa tano hivi,nikaanza safari yakurudi zangu Dodoma! Nikiwa njiani dereva aliona gari ya polisi inakuja kwa kasi mno,ikiashiria tupishe njia, bila hiyana dereva alipisha! Ukapita msururu wa magari yakiwa yanatembea kwa mwendo kasi sana!

Basi tukafika pale SOMANGA! Tukayaona yale magari yakiwa yamesimama kwa pembeni kuna watu wengi, nami nikatupa jicho nikamuona Mzee Kikwete akinunua samaki pale, sababu pale ni sehemu ya kula chakula,tukasimama pale,tukala na Mzee Kikwete aliingia hadi ndani ndani kabisa kununua samaki!

Basi sisi tukaanza safari tukawaacha wao pale, kabla hatujamaliza mpaka wa Lindi na Pwani, tulimkuta pale RPC wa Pwani akisubiri msafara ule aupokee na RPC wa Lindi arudi zake Lindi!

Sasa swali langu, kwa nini Mzee Kikwete ana msururu wa magari mengi vile?? Yaani zilikua gari zaidi ya 10! Na zote ni V8 VX na gari yake Nissan VX zile walizopewa marais wastaafu!
Kunashida gani kwa Mzee wetu na kipenzi chetu kumbuka ameijenga sana nchi mpaka hapa leo mlipo
Hakuna kipindi ambacho watu walikuwa huru kama chake Yeye
 
Back
Top Bottom