Jakaya Kikwete in Kigali

Jakaya Kikwete in Kigali

attachment.php



attachment.php



attachment.php



ImageUploadedByJamiiForums1425820470.869126.jpg ImageUploadedByJamiiForums1425820486.119537.jpg ImageUploadedByJamiiForums1425820499.370344.jpg
 
saimon111

Yaani nyie watu lazima mtakuwa na kaugonjwa Fulani, halafu mnapenda kukurupuka sana! Nicolas Sarkozy alipokelewa Rose Kabuye kama sikosei, hata mzee Museveni nae katua juzi akapokelewa na Minister of Infrastructure James Musoni, inakuwaje nyie mnaona ajabu Prof Ndumila kupokelewa na Mushikiwacu? tena kamvalia upande wa kanga, kwa vyovyote vile atakuwa amejisikia yuko nyumbani.
 
Last edited by a moderator:
mchambawima1

Majuzi mlikuwa mnamchafua JK mkimuita genocider na kudai mke wake ni Mhutu.

Sasa kwa mwaliko huu tuhuma hizo bado zinasimama, au ilikuwa ni propaganda tu?
 
Last edited by a moderator:
JokaKuu

Enhe za tangu jana JokaKuu? kama unakumbuka vizuri nilishawahi kusema msanii alianza kunipa matumaini juzi-kati alipowarudishia wafaransa pesa zao! nilijuwa kwa vyovyote kashaona pesa za Interahamwe zilivyo ngumu kuzila, bado mapema kumtabili wacha tuvute pumzi.
 
Last edited by a moderator:


Uhuru Kenyatta na Kagame wakija hapa wapokelewe na Makonda, nitashangaa sana kama JK ataenda yeye uwanjani kuwpaokea. wanamdhihaki hivi na wanajua mwaka huu anaondoka.
 
Last edited by a moderator:
mchambawima1
Pesa za Ufaransa amerudisha unao ushahidi,wakati kuna uchaguzi ktk ligi na tajiri asiyemkubali, kumbuka diplomasia maana yake ni tofaced, nsa mkulu ni mdiplomasia wa kiwango cha juu sana.
 
Last edited by a moderator:
mchambawima1
Nadhani kilichokuwa kinaendelea ni immaturity kwa upande wa serikali ya Kagame.

Tanzania na Rwanda hatupaswi kugombana, kwasababu ya kuwashauri mzungumze na ndugu zenu walioko ukimbizini.

Pia mahusiano yetu hayapaswi kuharibika kwasababu kuna mwanachama wa FDLR alikuja hapa Tz na kutuma dola 1500 kwenda kwa mwanachama mwingine wa FDLR aliyeko Uganda.

Mimi nadhani Kagame na Mushikiwabo walibugi stepu ktk kulishughulikia suala hili. Nashukuru kwamba sasa Kagame na Mushikiwabo wametambua makosa yao, na kuyarekebisha kupitia mwaliko huu.

Tena it is a very good gesture kwa Mushikiwabo kuwa hapo uwanjani kumpokea Raisi Kikwete.

cc newmzalendo
 
Last edited by a moderator:
newmzalendo
Mh! swali gumu? ndio maana nimekuambia tuvute subira, sema tokea siku ile atoke ufaransa lugha yake ilianza kubadilika kidogo... anyway watu wenye tabia za undumilakuwili ni ngumu ku wapredict, na ndio maana na sisi tumempokea kwa totoz kwani hapo napo nasikia hajambo na tutahakikisha mpaka anaondoka ni totoz tu, labda nayenyewe inaweza kusaidia kumtuliza akili, unajuwa JokaKuu sometimes stress nazo zinaharibu mambo.
 
Last edited by a moderator:
JokaKuu

Ohoh! umeanza sasa na ile mikutano ya magogoni? sasa ukitaka kujuwa ya kwamba Rwanda hatulali msubili msanii, nina uhakika atakuja na ushahidi wakutosha, pengine hata record ya sauti yake kwenye ile mkutano yao ya usikuusiku na kina jMali, achilia mbali kina Mtikila & co's
 
Last edited by a moderator:
Haijalishi wanampokea kwa Staili gani JK anajua anachokifanya. Wise na unwise hapo anajulikana. Kagame ni Rebel na tunajua hakuna rebel mstaarabu hata siku moja always mikono yao imejaa damu. JK songa mbele hatujali unapokelewa na mbunge au mkuu wa Wilaya ila the objective ya safari yako ndio muhimu.

Tunajua wanwea kukufanyia dhihaka lakini hawatadhubutu kukugusa; that is what we value most.
 
mchambawima1


Kikwete na Kagame ndiyo hao wameshapatana.

Sasa wananchi wa kawaida kwanini tuendelee kushambuliana?

Hivyo vikao vya magogoni ni propaganda, tena za kipuuzi. Sawa na upuuzi mwingine kwamba Salma Kikwete ni Mhutu.

Leave that crazy stuff. Tujadili mambo ya maana hapa.
 
Last edited by a moderator:
JokaKuu

Halafu vilevile sikatai, kumbuka wanaopatana ni wale waliowahi kukosana, je walikosana bila sababu? najua utasema eti ni kwa sababu ya ushauri lakini ukae ukikumbuka kuna yule tuliye muwahi juu kwa juu akitokea magogoni kwenye mikutano yao.
 
mchambawima1

Tatizo lenu ku-exaggerate hayo mambo ya FDLR.

Lingine ni kwamba mmedekezwa kiasi kwamba kila anayewaambia kile msichopenda kukisikia mnaamua kumchafua.

Hakuna haja ya kuyaendeleza hayo magomvi, kwasababu aliyeyaanzisha na aliyekuwa akiwalipa kutuandika vibaya Watanzania ameshajirudi.
 
Last edited by a moderator:
Museveni na Paul Kagame ni wanafunzi wa school of thought ya Mwl.JK Nyerere. miungoni mwa vipumbele vyao ni usalama at all cost na ukichunguza maendeleo ya kiuchumi hayaji bila usalama.

Cha kujiuliza Je sisi watz lini tutarejea ktk hali ya usalama,kwa sasa uwezi tembea na simu nzuri bila woga wa kuporwa njiani,alafu tunajiona tupo salama,wakati wa julius haukuweza kuiba kitu kirahisi.

Sasa hivi mwizi wa mali ya umma yupo salama kuliko asiyeiba mali za umma.

Simfagilii Paul Kagame, ila kwa hilo kajitahidi,naomba mungu nasi tz turudi ktk usalama wa kweli wa mtu kutembea bila woga wa kuibiwa na pia mwizi wa mali za umma kuadhibiwa kwa viboko na kutaifishwa mali zake.
 
mchambawima1

Naam hapo umenena kuhusu totos na muzee JK mmemfikisha tena ziwe na makalio ya kuonekana mtaweza mkamtuliza akili zake na yote yatakuwa yamepita ataganga yajayo, lakini ikumbukwe kuwa diplomacy aliyoionyesha mkulu wetu ni ya kuigwa na iwe ni fundisho,ametuonyesha jinsi asivyokuwa na usongo na wenzake lakini swali je PK angeweza kufanya hivyo kama alivyofanya mkulu JK? :canada:
 
Last edited by a moderator:
mng'ato,

Mambo ya Watutsi vs Wahutu ni mambo ya ndani ya Rwanda.

Mnatakiwa kuyashughulikia mambo hayo nyinyi wenyewe ndani ya nchi yenu.

Mimi nadhani mnakosea mnapoleta magomvi yenu huku nje.
 
Back
Top Bottom