Jakaya Kikwete in Kigali

Jakaya Kikwete in Kigali

JK kaenda kikazi karudi kwenye majukumu yake, nyie mbaki na mipicha yenu juu yenu, kama angekua anawaogopa asinge kanyaga Rwanda lakini katua pia karuka.
 
jk kaenda kikazi karudi kwenyemajukum yake, nyie mbaki na mipichayenu juuyenu, kama angekua anawaogopa asinge kanyaga rwanda lakini katua pia karuka

Hayo sisi wabongo ni maeneo yetu kaka. wewe waache warukeruke tu. Ka ikulu kao tukitaka ni dakika tu tunatia timu pale.
 
Wanyarwanda hawana hamu na JK kawatandika halafu kafanya ziara Rwanda.

Yes, anaonyesha hayo ni maeneo ya wabongo ya kujidai. Alafu waliokuwa wanamdharau humu wamekuwa wa kwanza kumshangilia.
Chezea bongoland wewe?
 
Hivi hujugundua kwamba hivi vijamaa vinapenda sana urafiki na sisi,sisi ni Independent Variable while they are dependent. JustDoItNow
 
Last edited by a moderator:
Yup! naye angeweza kufanya hivyo, kama aliweza kumualika basi kuitika wito vilevile visingemshinda, ngoma draw, kwenye hili wote wameonyesha ustaarabu.
 
MSHERWAMPAMBA
Yup! naye angeweza kufanya hivyo, kama aliweza kumualika basi kuitika wito vilevile visingemshinda, ngoma draw, kwenye hili wote wameonyesha ustaarabu.
 
Last edited by a moderator:
Wangemtuma yule binti wa Kagame ampokee kudaadeki! Jamaa angu angemega kimkoa chote cha kule juu ampe Mtusi yule tungeona kama pangekua na kelele.
Wasituchezee kabisa.
 
yup! naye angeweza kufanya hivyo, kama aliweza kumualika basi kuitika wito vilevile visingemshinda, ngoma draw, kwenye hili wote wameonyesha ustaarabu!!!
JK wetu yeye hanaga roho ya korosho,yeye kaenda kuwaonyesha ubabe wa mujini Dar na hata yule sijui mnamuita Uhuru naye apuonguze wivu na Bongo,nayeye tukitaka kumfanyia mbaya tutamfanyia na uwezo tunao.:canada:
 
MSHERWAMPAMBA

Sisi kwetu kupokelewa na mwanamke anayenukia manukato ni baraka kuliko kupokelewa na mwanaume anayenuka jasho na tumbaku mdomoni.
 
Last edited by a moderator:
sisi kwetu kupokelewa na mwanamke anayenukia manukato ni baraka kuliko kupokelewa na mwanaume anayenuka jasho na tumbaku mdomoni
Sijakuelewa hapo mkuu wangu,nakuomba unifafanulie kidogo. Mr Murage:canada:
 
Kagame anamdharau sana huyu jamaa..uhuru as well anamdharau sana jk kaenda kwenye mkutano katumwa seneta wa baringo kwenda kumpokea

JK ni Rais wa Tanzania, Hata kama ana mapungufu yake bado ni Rais wetu. Kwa posti kama hii humtendei haki.
 
murutongore

Ahahaha wazee wa jenosaidi. Naona kila siku mnabadilisha ID tu. Nyie ni miksa ya kibongo. Kiswahili chenu kinajieleza chenyewe.
Mbona mshikaji hakum hit JK katia timu mpaka huko?
 
Last edited by a moderator:
Nadhani kapitia tu Kigali kusisitiza genocider akae na fdlr
 
Back
Top Bottom