Jakaya azindua Kikwete Foundation. Wamo Sefue, Mkandara, Bakhressa na waziri wa Malaysia

Lini magu ataanzsha miradi yake yenye tija,

bora angebak Jk had projects zikamilike.

Kama kwa "Magu" unamaanisha Rais Magufuli, basi elewa kuwa Maufuli natimiza ilani ya CCM, ukiisomma ilani ya CCM utaelewa hilo.

Miradi mingi sana na mikubwa ipo. Kwa sasa ile yote iliyobuniwa wakati wa Kikwete inafanyiwa kazi na kuanzishwa na mingine mipya ya maendeleo ipo na inakuja, usiwe na wasi wasi. Rome was not built in a day.
 
siku ukienda msoga mwambie watanzania wanam miss!! alafu mwambie huyu aliyetuletea sio kiongozi! kama akipata nafasi awe anamfundisha jinsi ya kuwa kiongozi kama yeye


Magufuli ni kiongozi mzuri sana na anafata ilani ya chama kilichomuweka madarakani.
 
siku ukienda msoga mwambie watanzania wanam miss!! alafu mwambie huyu aliyetuletea sio kiongozi! kama akipata nafasi awe anamfundisha jinsi ya kuwa kiongozi kama yeye
1489471254331.jpg
 
viongozi wa maisha ni watatu (3) tuu
1:Mwl nyerere
2:nkurumah
3:mzee madiba
basiiiiii

Hao wengine sielewi kiundani habari zao lakini huyo namba moja, aling'atuka nchi ikiwa hoi bin taabani. Hawezi kufikia hata robo ya mafanikio ya Kikwete kwa miaka yake 24 aliyokuwepo madarakani. Hata dhanna yake ya Ujamaa na Kujitegemea ilimshinda. Uchumi ndiyo usiseme, tulikuwa masikini wa wisho duniani wkati wake.

Ukija kwenye afya ndiyo yaleyale! average life expectancy ya Mtanzania ilikuwa miaka 40 tu.
 
Hao wengine sielewi kiundani habari zao lakini huyo namba moja, aling'atuka nchi ikiwa hoi bin taabani. Hawezi kufikia hata robo ya mafanikio ya Kikwete kwa miaka yake 24 aliyokuwepo madarakani. Hata dhanna yake ya Ujamaa na Kujitegemea ilimshinda. Uchumi ndiyo usiseme, tulikuwa masikini wa wisho duniani wkati wake.

Ukija kwenye afya ndiyo yaleyale! average life expectancy ya Mtanzania ilikuwa miaka 40 tu.
sijazungumzia waliacha nini bali ni viongozi wa MAISHA (everlasting life)
 
Sijawahi kuwa na mahaba na JK, hata hapa naona kama vile hii ni club ya matajiri tu kaianzisha. Kuonyesha kuwa hata yeye ni bilionear,

This is just another bilionear club.
 
Ameshindwa miaka 10 akiwa kama Mkuu wa Nchi, ataweza sasa hivi akiwa kapuku wa Msoga?

Maajabu hayawezi kuisha Nchi hii.

Exactly Mkuu. Hawa wazee wetu sijui wanafikiria kwa kutumia nyenzo gani. Wakiwa madarakani wanakuwa kama vile wako kwenye dunia ya pekee yao. Matatizo wanayaona kila siku ila wanayatumia kama mtaji kutumbua kodi za hao hao masikini.

Leo unataka kushughulikia utawala bora. Wakati ukiwa Raisi ulikuwa na nafasi ya kutuletea utawala bora ukashindwa. Mpaka leo umeondoka madarakani hata katiba ilikushinda. Sasa huo utawala bora tutaupata bila katiba yenye kuyazingatia hayo unayotaka kuhangaika nayo kupitia hiyo NGO yako? Na utakuta yuko busy preaching about good governance!

Leo umestaafu ndo unakereka na Changamoto za afya ya mama na mtoto?. Hivi kweli JK kwa miaka kumi uliyokuwa madarakani hili hukuliona? Hela zote za kifisadi zilizopotea..ulishindwa kulishughulikia hili?

Mimi sijui kwenye madaraka kuna nini. Mkiwa madarakani mnakuwa kama akili zimewahama. Mkirudi uraiani mnaanza kushika adabu! Look at Mkapa...same.

Fitina zooote ulizocheza miaka hiyo ukiwa na nguvu.....leo ndo unaamini unaweza kuwa na msaada kwa jamii ya waTanzania kwenye ustaafu wako kupitia some obscure NGO?

Anyway, all the best JK! Ila unatupa fundisho unafiki na ubinafsi si kitu chema.
 
Nimependa huyu binti wa kitanzania mdogo lakini kaajaliwa kufanya kazi za kueleweka hebu mcheki live hapa kwenye links. Lakini cha muhimu na kina ukweli huyu amesoma vyuo vya amerika na sio vya kibashite

Stocks
 
Hii foundation iliishia wapi? Nimeuliza google Lakini naona hata website hawana! I would like to know more of what they are doing.
 
Back
Top Bottom