Yaani we acha tu mkubwa sisi tunamsilikizia tushamzoea mzee wa ahadi nyingi zisizotekelezeka. Best hata kama hili suala litaingizwa kwenye ilani ya chama sijui kama litatekelezeka.Bwana JK, uliahidi kitu leo kuhusu TRL kule tabora!!! vipi ndugu yetu, when will you be reliable??
Bwana JK, uliahidi kitu leo kuhusu TRL kule tabora!!! vipi ndugu yetu, when will you be reliable??
Zipo nyingi tu zimetekelezwa kama huna macho huoni na hii ya Trl saa mbili jioni baraza la mawaziri limesema haya yafuatayo:Hivi De Novo ni ahadi gani iliwahi kuahidiwa na huyu mkwere ikatekelezwa? Just enjoy your week-end acha kufuatilia hizi porojo usije ukafa kabla ya siku zako mkuu.
kaka imetekelezwaBwana JK, uliahidi kitu leo kuhusu TRL kule tabora!!! vipi ndugu yetu, when will you be reliable??
inauma sana lakini tukinyamaza nani atasema?
Zipo nyingi tu zimetekelezwa kama huna macho huoni na hii ya Trl saa mbili jioni baraza la mawaziri limesema haya yafuatayo:
Baraza la Mawaziri leo, Ijumaa, Machi 12, 2010, katika kikao chake kilichofanyika Ikulu, Dar es Salaam, chini ya Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, limejadili hali ya Kampuni ya Reli Tanzania (TRL) na kufanya maamuzi ya msingi kwa kukubaliana kama ifuatavyo:TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
· Kwamba Serikali ianze mara moja kujadiliana na RITES, mbia wa Serikali katika kampuni ya TRL, kwa lengo la Serikali kununua hisa 51 za RITES katika kampuni hiyo. Kwa sasa RITES inamiliki asilimia 51 na Serikali inamiliki asilimia 49 katika TRL.
· Kwamba baada ya hapo, Serikali itafanya matayarisho ya msingi ikiwa ni pamoja na kurekebisha kasoro na kuangalia mustakabali wa TRL, na kuiandaa kampuni hiyo kwa ajili ya kutafutiwa mbia mwingine wa kushirikiana na Serikali katika kuendesha TRL.
(Phillemon L. Luhanjo)
KATIBU WA BARAZA LA MAWAZIRI
OFISI YA RAIS,
IKULU.
12 Machi, 2010