Jaji Warioba ni sehemu ya kikundi cha chokochoko dhidi ya Rais Samia, wakati anavamiwa na Makonda, alikuwa na Polepole, rafiki ya Bashiru

Kumbe humu JF kuna baadhi ya Mataahira wenye kutostahili kuwemo humu.

chiembe
Narudia tena kukuhabarisha kuhusu jaji warioba.
Ili uelewe huyo sio takataka wa kusijudu kama nyinyi kina Chinembe!

Jaji Joseph Sinde Warioba (amezaliwa Bunda, Mkoa wa Mara, Septemba 3, 1940) ni mwanasiasa wa Tanzania. Aliwahi kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania kuanzia mwaka 1985 hadi 1990. Kwa kuongezea, aliwahi kutumika kama Makamu wa Rais wa nchi hii.
Pia aliwahi kuwa jaji katika Mahakama ya Haki ya Afrika Mashariki, na mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba ya Tanzania tangu mwaka 2012.

Alihitimu kutoka Chuo Kikuu cha Afrika Mashariki jijini Dar es Salaam, Tanzania mnamo 1966. Kuanzia 1966 hadi 1968, aliwahi kuwa wakili wa serikali jijini Dar es salaam, na kutoka 1968 hadi 1970, kama wakili wa Halmashauri ya Jiji.
Mnamo mwaka wa 1970, alihitimu kutoka Chuo cha Hague cha Sheria ya Kimataifa. Kuanzia 1976 hadi 1983, aliwahi kuwa Wakili Mkuu wa Tanzania. Kuanzia 1983 hadi kuchaguliwa kwake kama waziri mkuu, alihudumu kama waziri wa haki.

Kufuatia umiliki wake kama waziri mkuu, aliwahi kuwa jaji wa Hamburg, Korti ya kimataifa ya makao yake makuu ya Ujerumani ya Sheria ya Bahari kutoka 1996 hadi 1999. Zaidi ya hayo, mnamo 1996.
Rais Benjamin Mkapa alimteua kama mwenyekiti wa Tume ya Rais Dhidi ya Serikali Rushwa, inajulikana zaidi kama Tume ya Warioba.

Warioba alichaguliwa kuongoza Kundi la Waangalizi wa Jumuiya ya Madola katika uchaguzi wa Aprili 2007 wa Nigeria. Alitoa tathmini chanya ya uchaguzi huo, akiona ni ya maendeleo huku akisema pia kwamba kuna makosa.

Warioba aliteuliwa mnamo Novemba 2016 na Rais wa Tanzania John Magufuli kama Kansela wa Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine cha Morogoro, Tanzania.

chiembe huyo mzee sio size yenu Ma-Chawa nyie!

View attachment 2423919
Narudia tena ili uelewe, Warioba huo ujaji ni WA kujipachika, kisheria, hapa Tanzania, hayumo katika listi ya majaji, na hata hizo mahakama unazozisema, huko nako sio JAJI.

Wajita, wakerewe, na wakara walikuwa wanamuita "YEGO JAJI" kwa heshima ya mtu mzima, sio ujaji.

Bandika hukumu ambayo Warioba aliwahi kuandika ndani na nje ya nchi
 
Polepole na Bashiru ni kundi la yule aliyekata moto, na halikumtaka SSH achukue uongozi. Polepole katika kumhami kaka yake, kamitumia Warioba aliyekuwa naye Tume ya Katiba ili atoe kauli ya kumlinda. Mzee naye akishaonyeshwa mpunga, huwa anaropoka haraka sana.

Polepole alikuwa na Warioba wakisaka posho, mpaka Makonda akamchapa mateke Jaji Warioba baada ya hapo alipunguza wenge. Sasa naona wenge linarudi kwa kasi.

Kuna watu walishazoea kupewa tenda za ushauri ikulu, mmoja wapo ni Jaji Warioba(sijui Jaji wa nini, maana hajawahi kuhukumu kesi yoyote). Akiachwa nje huwa anachanganyikiwa, anajihisi na kujilinganisha na Nyerere, wakati katika kashfa ya MWANANCHI GOLD alipiga Hela ndefu za dhahabu pale Benki Kuu.

Mawaziri wakuu wenzake wamepumzika, yeye anahangaika huku na kule anapanda ngazi za maghorofa akisaka posho za semina na makongamano, mtu ana miaka karibu themanini anagombea posho na vitoto vilivyozaliwa miaka ya 2000.

Mzee Nyerere alipostaafu alirudi Butiama, huyu nadhani hata kwao hajajenga. Anazurura Dar es salaam tu. Kuna madai alioa mchaga, mchaga akamjengesha nyumba Moshi, kwao hajajenga.

Ndio maana Makonda alimchapa ngwala akiwa katika harakati za kusaka posho.
Yaani wewe baba yako aliuza ng'ombe akasomesha ng'ombe mwingine shule
 
Mwizi huhukumiwa na mahakama. Kama hakuna kesi wala hukumu iliyoonesha Warioba ni mwizi, you the rich in idiocy, shut up you stinking mouth.
Nenda google ukam search huyu Babu opportunist ......alikula mlungula wa MWANANCHI GOLD
 
Kumbe humu JF kuna baadhi ya Mataahira wenye kutostahili kuwemo humu.

chiembe
Narudia tena kukuhabarisha kuhusu jaji warioba.
Ili uelewe huyo sio takataka wa kusijudu kama nyinyi kina Chinembe!

Jaji Joseph Sinde Warioba (amezaliwa Bunda, Mkoa wa Mara, Septemba 3, 1940) ni mwanasiasa wa Tanzania. Aliwahi kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania kuanzia mwaka 1985 hadi 1990. Kwa kuongezea, aliwahi kutumika kama Makamu wa Rais wa nchi hii.
Pia aliwahi kuwa jaji katika Mahakama ya Haki ya Afrika Mashariki, na mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba ya Tanzania tangu mwaka 2012.

Alihitimu kutoka Chuo Kikuu cha Afrika Mashariki jijini Dar es Salaam, Tanzania mnamo 1966. Kuanzia 1966 hadi 1968, aliwahi kuwa wakili wa serikali jijini Dar es salaam, na kutoka 1968 hadi 1970, kama wakili wa Halmashauri ya Jiji.
Mnamo mwaka wa 1970, alihitimu kutoka Chuo cha Hague cha Sheria ya Kimataifa. Kuanzia 1976 hadi 1983, aliwahi kuwa Wakili Mkuu wa Tanzania. Kuanzia 1983 hadi kuchaguliwa kwake kama waziri mkuu, alihudumu kama waziri wa haki.

Kufuatia umiliki wake kama waziri mkuu, aliwahi kuwa jaji wa Hamburg, Korti ya kimataifa ya makao yake makuu ya Ujerumani ya Sheria ya Bahari kutoka 1996 hadi 1999. Zaidi ya hayo, mnamo 1996.
Rais Benjamin Mkapa alimteua kama mwenyekiti wa Tume ya Rais Dhidi ya Serikali Rushwa, inajulikana zaidi kama Tume ya Warioba.

Warioba alichaguliwa kuongoza Kundi la Waangalizi wa Jumuiya ya Madola katika uchaguzi wa Aprili 2007 wa Nigeria. Alitoa tathmini chanya ya uchaguzi huo, akiona ni ya maendeleo huku akisema pia kwamba kuna makosa.

Warioba aliteuliwa mnamo Novemba 2016 na Rais wa Tanzania John Magufuli kama Kansela wa Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine cha Morogoro, Tanzania.

chiembe huyo mzee sio size yenu Ma-Chawa nyie!

View attachment 2423919
Kansela wa chuo SUA, hakuna alilofanya pale zaidi ya posho tu, amesaidia nini kilimo Cha nchi hii na hao wahitimu? Hakuna alilosaidia
 
Polepole na Bashiru ni kundi la yule aliyekata moto, na halikumtaka SSH achukue uongozi. Polepole katika kumhami kaka yake, kamitumia Warioba aliyekuwa naye Tume ya Katiba ili atoe kauli ya kumlinda. Mzee naye akishaonyeshwa mpunga, huwa anaropoka haraka sana.

Polepole alikuwa na Warioba wakisaka posho, mpaka Makonda akamchapa mateke Jaji Warioba baada ya hapo alipunguza wenge. Sasa naona wenge linarudi kwa kasi.

Kuna watu walishazoea kupewa tenda za ushauri ikulu, mmoja wapo ni Jaji Warioba(sijui Jaji wa nini, maana hajawahi kuhukumu kesi yoyote). Akiachwa nje huwa anachanganyikiwa, anajihisi na kujilinganisha na Nyerere, wakati katika kashfa ya MWANANCHI GOLD alipiga Hela ndefu za dhahabu pale Benki Kuu.

Mawaziri wakuu wenzake wamepumzika, yeye anahangaika huku na kule anapanda ngazi za maghorofa akisaka posho za semina na makongamano, mtu ana miaka karibu themanini anagombea posho na vitoto vilivyozaliwa miaka ya 2000.

Mzee Nyerere alipostaafu alirudi Butiama, huyu nadhani hata kwao hajajenga. Anazurura Dar es salaam tu. Kuna madai alioa mchaga, mchaga akamjengesha nyumba Moshi, kwao hajajenga.

Ndio maana Makonda alimchapa ngwala akiwa katika harakati za kusaka posho.
Kinachonishangaza, watu wengi humu wanamshambilia Mzee badala ya kujibu hoja yake. Mzee Warioba amekataa kuwa mlamba asali anasimamia maslahi ya nchi, kwanini mnakuja na mada za kejeli? Jibuni hoja ya Ali Bashiru kwanza..!!
 
Ndio madhara ya Akili ndogo. Unamu Attack MTU badala ya kujibu hoja. Mzee Amesema Bwana Kakurwa Asishambuliwe Bali Ajibiwe kwa Hoja.

Tatizo kuna Baadhi ya wana CCM Ambao ni Vilaza. Udhani kumshambulia MTU ndio Suluhisho badala ya Kujibu hoja.

Hoja ni kwa wizara ya kilimo na ina Waziri wake pia inawatendaji wake. Hawa ndio wangejibu hoja na sio hao waropokaji.

Nchi hii isipo wekea mkazo kwenye kilimo Tusijidanganye kupiga hatua kunategemea Kilimo.

Sasa kama wakulima wana nyonywa Alafu viongozi wakanyamaza ni sawa na kukalia Bom.
Wanasaka vyeo bana.
Wanatafuta ugali wao
 
Wana CCM wanapinga utaratibu alioutumia Bashiru kutoa hoja zake. Kila taasisi ina miiko na taratibu zake. CCM ina miiko na taratibu zake. Mwanachama anaruhusiwa kutoa hoja kuhusu jambo lolote, lakini kwenye vikao vya cha chake. Kama hoja yake itakuwa na mashiko itaendelea kupanda kwenye ngazi za vikao mpaka ifike taifa inakuwa hoja ya kitaifa. Bashiru analijua hilo. Yeye mbunge angewasilisha hoja yake kwenye vikao vya chamq.
Utamaduni unaojengeka na kukomaa. Ni kuwa Ccm ingependa kunyamazisha watu dhidi ya viongozi wao. Na hii si sawa.

Waruhusuni wanachama na wananchi watoe dukuduku zao. Kwani ndiyo uongozi. Mambo ya kuabudu na kusifu viongozi, hata pale wanapotimiza majukumu yao ya kikatiba, na wanalipwa kwa kazi hizo si sawa. Ccm ya zamani iliruhusu wanachama na wananchi kutoa ya mioyoni mwao. Siyo hii ya kutukuzana
 
Back
Top Bottom