Jaji Warioba ni sehemu ya kikundi cha chokochoko dhidi ya Rais Samia, wakati anavamiwa na Makonda, alikuwa na Polepole, rafiki ya Bashiru

Jaji warioba ni kama Prof Musa Assadi wao nyeusi ni nyeusi nyeupe ni nyeupe Mkweli hana upande anapiga kote. Alichosema ni kweli hoja ujibiwa kwa hoja ukiona mtu anakimbilia vitisho ujue hana Hoja
Wana CCM wanapinga utaratibu alioutumia Bashiru kutoa hoja zake. Kila taasisi ina miiko na taratibu zake. CCM ina miiko na taratibu zake. Mwanachama anaruhusiwa kutoa hoja kuhusu jambo lolote, lakini kwenye vikao vya cha chake. Kama hoja yake itakuwa na mashiko itaendelea kupanda kwenye ngazi za vikao mpaka ifike taifa inakuwa hoja ya kitaifa. Bashiru analijua hilo. Yeye mbunge angewasilisha hoja yake kwenye vikao vya chamq.
 
Warioba ana double standards?yes..
Warioba mnafiki ?yes..
Lakini tusimshambulie maisha binafsi wala kumlazimisha astaafu asiongee ...
Acha ashindwe Kwa hoja Tu. ..kama Kikwete alivyomjibu masuala ya serikali tatu Bunge la katiba ...
Hamna uwezo wa kushindana kwa hoja na Jaji Warioba, narudia tena; hamna uwezo huo, nyie tegemeeni mipasho yenu ya kimwambao tu kujibu hoja zake, kwasababu hiyo ndio silaha yenu kuu awamu hii.
 
Hamna uwezo wa kushindana kwa hoja na Jaji Warioba, narudia tena; hamna uwezo huo, nyie tegemeeni mipasho yenu ya kimwambao tu kujibu hoja zake, kwasababu hiyo ndio silaha yenu kuu awamu hii.

Ungeacha kuni quote manake Namjibu mtu mwingine hata hujaelewa nilichomjibu ushanivamia..

Mipasho ndo hii unaleta wewe hata kuelewa hoja hujaelewa unakuja mvamia mtu...
 
Polepole na Bashiru ni kundi la yule aliyekata moto, na halikumtaka SSH achukue uongozi. Polepole katika kumhami kaka yake, kamitumia Warioba aliyekuwa naye Tume ya Katiba ili atoe kauli ya kumlinda. Mzee naye akishaonyeshwa mpunga, huwa anaropoka haraka sana.

Polepole alikuwa na Warioba wakisaka posho, mpaka Makonda akamchapa mateke Jaji Warioba baada ya hapo alipunguza wenge. Sasa naona wenge linarudi kwa kasi.

Kuna watu walishazoea kupewa tenda za ushauri ikulu, mmoja wapo ni Jaji Warioba(sijui Jaji wa nini, maana hajawahi kuhukumu kesi yoyote). Akiachwa nje huwa anachanganyikiwa, anajihisi na kujilinganisha na Nyerere, wakati katika kashfa ya MWANANCHI GOLD alipiga Hela ndefu za dhahabu pale Benki Kuu.

Mawaziri wakuu wenzake wamepumzika, yeye anahangaika huku na kule anapanda ngazi za maghorofa akisaka posho za semina na makongamano, mtu ana miaka karibu themanini anagombea posho na vitoto vilivyozaliwa miaka ya 2000.

Mzee Nyerere alipostaafu alirudi Butiama, huyu nadhani hata kwao hajajenga. Anazurura Dar es salaam tu. Kuna madai alioa mchaga, mchaga akamjengesha nyumba Moshi, kwao hajajenga.

Ndio maana Makonda alimchapa ngwala akiwa katika harakati za kusaka posho.
hapana hata wewe huwenda hujajenga kwenu. kuna uthibitisho gni kuwa umejenga kwenu? kuwa na nidhani na uwaheshimu waliokutangulia siku zako zitakuwa nyingi.
 
Wanasiasa ndani ya CCM baadhi Yao kumponda Bashiru wameona ndio njia ya kujipendekeza Kwa Mama Ili waonekane wako upandewake.
Katika vitu Mama anatakiwa awe makini ni awa wanao jitokeza kwenye vyombo vya habari kumponeza bila Sababu ya Msingi.
Nikheri ufuatilie na kuzitafakari hoja za wanao kupinga unawezakuta wanakusaidia Kwa kiasi kikubwa kujitambua udhaifu wako ki uongozi, kuliko wanao kusifia Kwa mambo ya kawaida tena ni jukumu lako kutekeleza.
 
Ungeacha kuni quote manake Namjibu mtu mwingine hata hujaelewa nilichomjibu ushanivamia..

Mipasho ndo hii unaleta wewe hata kuelewa hoja hujaelewa unakuja mvamia mtu...
Wacha kutafuta visingizio vya kutafuta uchochoro wa kutokea, mimi sio mtoto najua nachojibu, nakuona unaimba tu hoja sijui hata kama unajua maana yake.
 
Mzee Warioba tatizo lake ni nini kwani sijaona mahali popote alikokosea kwani hoja hujibiwa kwa hoja na hapa ndiko ninashindwaga kuelewa wanachama wa chama changu.
Yaani mtu anatoa ushauri wa kujibu kitu kwa hoja badala ya Mashambulizu binafsi.
Hii haileti afya ktk chama kabisa tumwache mzee wetu Warioba apumzike sio kumzungumzia mambo binafsi ambayo ni mabaya.
 
Polepole na Bashiru ni kundi la yule aliyekata moto, na halikumtaka SSH achukue uongozi. Polepole katika kumhami kaka yake, kamitumia Warioba aliyekuwa naye Tume ya Katiba ili atoe kauli ya kumlinda. Mzee naye akishaonyeshwa mpunga, huwa anaropoka haraka sana.

Polepole alikuwa na Warioba wakisaka posho, mpaka Makonda akamchapa mateke Jaji Warioba baada ya hapo alipunguza wenge. Sasa naona wenge linarudi kwa kasi.

Kuna watu walishazoea kupewa tenda za ushauri ikulu, mmoja wapo ni Jaji Warioba(sijui Jaji wa nini, maana hajawahi kuhukumu kesi yoyote). Akiachwa nje huwa anachanganyikiwa, anajihisi na kujilinganisha na Nyerere, wakati katika kashfa ya MWANANCHI GOLD alipiga Hela ndefu za dhahabu pale Benki Kuu.

Mawaziri wakuu wenzake wamepumzika, yeye anahangaika huku na kule anapanda ngazi za maghorofa akisaka posho za semina na makongamano, mtu ana miaka karibu themanini anagombea posho na vitoto vilivyozaliwa miaka ya 2000.

Mzee Nyerere alipostaafu alirudi Butiama, huyu nadhani hata kwao hajajenga. Anazurura Dar es salaam tu. Kuna madai alioa mchaga, mchaga akamjengesha nyumba Moshi, kwao hajajenga.

Ndio maana Makonda alimchapa ngwala akiwa katika harakati za kusaka posho.


IMG_20211218_014906.jpg
 
Polepole na Bashiru ni kundi la yule aliyekata moto, na halikumtaka SSH achukue uongozi. Polepole katika kumhami kaka yake, kamitumia Warioba aliyekuwa naye Tume ya Katiba ili atoe kauli ya kumlinda. Mzee naye akishaonyeshwa mpunga, huwa anaropoka haraka sana.

Polepole alikuwa na Warioba wakisaka posho, mpaka Makonda akamchapa mateke Jaji Warioba baada ya hapo alipunguza wenge. Sasa naona wenge linarudi kwa kasi.

Kuna watu walishazoea kupewa tenda za ushauri ikulu, mmoja wapo ni Jaji Warioba(sijui Jaji wa nini, maana hajawahi kuhukumu kesi yoyote). Akiachwa nje huwa anachanganyikiwa, anajihisi na kujilinganisha na Nyerere, wakati katika kashfa ya MWANANCHI GOLD alipiga Hela ndefu za dhahabu pale Benki Kuu.

Mawaziri wakuu wenzake wamepumzika, yeye anahangaika huku na kule anapanda ngazi za maghorofa akisaka posho za semina na makongamano, mtu ana miaka karibu themanini anagombea posho na vitoto vilivyozaliwa miaka ya 2000.

Mzee Nyerere alipostaafu alirudi Butiama, huyu nadhani hata kwao hajajenga. Anazurura Dar es salaam tu. Kuna madai alioa mchaga, mchaga akamjengesha nyumba Moshi, kwao hajajenga.

Ndio maana Makonda alimchapa ngwala akiwa katika harakati za kusaka posho.
Warioba ni kati ya watu ambao msimamo wake haujawahi kubadilika toka kipindi cha katiba, mpaka kipindi cha jpm na hadi leo.
Acha kunzushia.
 
Polepole na Bashiru ni kundi la yule aliyekata moto, na halikumtaka SSH achukue uongozi. Polepole katika kumhami kaka yake, kamitumia Warioba aliyekuwa naye Tume ya Katiba ili atoe kauli ya kumlinda. Mzee naye akishaonyeshwa mpunga, huwa anaropoka haraka sana.

Polepole alikuwa na Warioba wakisaka posho, mpaka Makonda akamchapa mateke Jaji Warioba baada ya hapo alipunguza wenge. Sasa naona wenge linarudi kwa kasi.

Kuna watu walishazoea kupewa tenda za ushauri ikulu, mmoja wapo ni Jaji Warioba(sijui Jaji wa nini, maana hajawahi kuhukumu kesi yoyote). Akiachwa nje huwa anachanganyikiwa, anajihisi na kujilinganisha na Nyerere, wakati katika kashfa ya MWANANCHI GOLD alipiga Hela ndefu za dhahabu pale Benki Kuu.

Mawaziri wakuu wenzake wamepumzika, yeye anahangaika huku na kule anapanda ngazi za maghorofa akisaka posho za semina na makongamano, mtu ana miaka karibu themanini anagombea posho na vitoto vilivyozaliwa miaka ya 2000.

Mzee Nyerere alipostaafu alirudi Butiama, huyu nadhani hata kwao hajajenga. Anazurura Dar es salaam tu. Kuna madai alioa mchaga, mchaga akamjengesha nyumba Moshi, kwao hajajenga.

Ndio maana Makonda alimchapa ngwala akiwa katika harakati za kusaka posho.
Wewe usieutambua ujaji wa Warioba unastahili kuitwa Takataka la CCM-Asali.

Kwa taarifa yako iko hivi......

"Joseph Sinde Warioba"

"Former Prime Minister of Tanzania
Joseph Sinde Warioba served as Prime Minister of Tanzania from 1985 to 1990. Furthermore, he served concurrently as the country's Vice President. He has also served as a judge on the East African Court of Justice, and as chairman of the Tanzanian Constitutional Review Commission since 2012. Wikipedia

Born: September 3, 1940 (age 82 years), Bunda District

Education: The Hague Academy of International Law (1970)

Previous office: Prime Minister of Tanzania (1985–1990)

Party: Chama Cha Mapinduzi"

Sasa wewe Chinembe Dodoki wa Walamba Asali njoo utuletee CV yako na wewe tuisome!

chiembe Jitambuwe na uache kutumika ki-taahira!
JamiiForums896815200.jpg
 
Back
Top Bottom