Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 22,746
- 30,025
Hawa vijana hawajitambuiMshuhulikieni vema kwenye hiyo kashfa ya mwananchi gold,
Ila hapa kwenye hoja zake kuhusu maoni mjibuni kwa hoja bwana kinembe acheni viroja.
Hawa vijana hawajitambuiMshuhulikieni vema kwenye hiyo kashfa ya mwananchi gold,
Ila hapa kwenye hoja zake kuhusu maoni mjibuni kwa hoja bwana kinembe acheni viroja.
Umeandika ujingaPolepole na Bashiru ni kundi la yule aliyekata moto, na halikumtaka SSH achukue uongozi. Polepole katika kumhami kaka yake, kamitumia Warioba aliyekuwa naye Tume ya Katiba ili atoe kauli ya kumlinda. Mzee naye akishaonyeshwa mpunga, huwa anaropoka haraka sana.
Polepole alikuwa na Warioba wakisaka posho, mpaka Makonda akamchapa mateke Jaji Warioba baada ya hapo alipunguza wenge. Sasa naona wenge linarudi kwa kasi.
Kuna watu walishazoea kupewa tenda za ushauri ikulu, mmoja wapo ni Jaji Warioba(sijui Jaji wa nini, maana hajawahi kuhukumu kesi yoyote). Akiachwa nje huwa anachanganyikiwa, anajihisi na kujilinganisha na Nyerere, wakati katika kashfa ya MWANANCHI GOLD alipiga Hela ndefu za dhahabu pale Benki Kuu.
Mawaziri wakuu wenzake wamepumzika, yeye anahangaika huku na kule anapanda ngazi za maghorofa akisaka posho za semina na makongamano, mtu ana miaka karibu themanini anagombea posho na vitoto vilivyozaliwa miaka ya 2000.
Mzee Nyerere alipostaafu alirudi Butiama, huyu nadhani hata kwao hajajenga. Anazurura Dar es salaam tu. Kuna madai alioa mchaga, mchaga akamjengesha nyumba Moshi, kwao hajajenga.
Ndio maana Makonda alimchapa ngwala akiwa katika harakati za kusaka posho.
Kumbe humu JF kuna baadhi ya Mataahira wenye kutostahili kuwemo humu.Warioba hana hadhi ya ujaji, na hakuna hukumu aliyowahi kutoa, hawa ndio wale wakiitwa na wajita "YEGO JAJI" basi tayari anajiona jaji
Mimi ni shahidi dollar millioni 4Muulize zile Hela za Kampuni ya MWANANCHI GOLD walizoiba Benki Kuu, ndio utajua nyeupe na nyeusi zake
Ukisikia kuishiwa akili ni kama alivyo huyu mleta mada.Polepole na Bashiru ni kundi la yule aliyekata moto, na halikumtaka SSH achukue uongozi. Polepole katika kumhami kaka yake, kamitumia Warioba aliyekuwa naye Tume ya Katiba ili atoe kauli ya kumlinda. Mzee naye akishaonyeshwa mpunga, huwa anaropoka haraka sana.
Polepole alikuwa na Warioba wakisaka posho, mpaka Makonda akamchapa mateke Jaji Warioba baada ya hapo alipunguza wenge. Sasa naona wenge linarudi kwa kasi.
Kuna watu walishazoea kupewa tenda za ushauri ikulu, mmoja wapo ni Jaji Warioba(sijui Jaji wa nini, maana hajawahi kuhukumu kesi yoyote). Akiachwa nje huwa anachanganyikiwa, anajihisi na kujilinganisha na Nyerere, wakati katika kashfa ya MWANANCHI GOLD alipiga Hela ndefu za dhahabu pale Benki Kuu.
Mawaziri wakuu wenzake wamepumzika, yeye anahangaika huku na kule anapanda ngazi za maghorofa akisaka posho za semina na makongamano, mtu ana miaka karibu themanini anagombea posho na vitoto vilivyozaliwa miaka ya 2000.
Mzee Nyerere alipostaafu alirudi Butiama, huyu nadhani hata kwao hajajenga. Anazurura Dar es salaam tu. Kuna madai alioa mchaga, mchaga akamjengesha nyumba Moshi, kwao hajajenga.
Ndio maana Makonda alimchapa ngwala akiwa katika harakati za kusaka posho.
Crap from a poor mind.Huyu alikuwa mbunge wa Bunda miaka dahari, alishindwa kupeleka maji Wala barabara, akisimama Bunda anazomewa, naona alimuombea mwanae awe mkuu wa wilaya ya Moshi, ukweni kwake, yaani, nyumbani hana sauti, halafu akitoka nje ya geti anataka kukoromea dola
Jaji Warioba ni super intelligent, mtu aliyenyoka kwa kauli na fikra. Ni wajinga au punguani ndio wanaweza kumdhihaki jaji Warioba.Jaji warioba ni kama Prof Musa Assadi wao nyeusi ni nyeusi nyeupe ni nyeupe Mkweli hana upande anapiga kote. Alichosema ni kweli hoja ujibiwa kwa hoja ukiona mtu anakimbilia vitisho ujue hana Hoja
Uliza pua na Elimu yake. Michango yake humu huashiria ni mtu mwenye upeo na uelewa duni kabisa.Kinembe how old are you?
Asalalee!!Polepole na Bashiru ni kundi la yule aliyekata moto, na halikumtaka SSH achukue uongozi. Polepole katika kumhami kaka yake, kamitumia Warioba aliyekuwa naye Tume ya Katiba ili atoe kauli ya kumlinda. Mzee naye akishaonyeshwa mpunga, huwa anaropoka haraka sana.
Polepole alikuwa na Warioba wakisaka posho, mpaka Makonda akamchapa mateke Jaji Warioba baada ya hapo alipunguza wenge. Sasa naona wenge linarudi kwa kasi.
Kuna watu walishazoea kupewa tenda za ushauri ikulu, mmoja wapo ni Jaji Warioba(sijui Jaji wa nini, maana hajawahi kuhukumu kesi yoyote). Akiachwa nje huwa anachanganyikiwa, anajihisi na kujilinganisha na Nyerere, wakati katika kashfa ya MWANANCHI GOLD alipiga Hela ndefu za dhahabu pale Benki Kuu.
Mawaziri wakuu wenzake wamepumzika, yeye anahangaika huku na kule anapanda ngazi za maghorofa akisaka posho za semina na makongamano, mtu ana miaka karibu themanini anagombea posho na vitoto vilivyozaliwa miaka ya 2000.
Mzee Nyerere alipostaafu alirudi Butiama, huyu nadhani hata kwao hajajenga. Anazurura Dar es salaam tu. Kuna madai alioa mchaga, mchaga akamjengesha nyumba Moshi, kwao hajajenga.
Ndio maana Makonda alimchapa ngwala akiwa katika harakati za kusaka posho.
Mwizi huhukumiwa na mahakama. Kama hakuna kesi wala hukumu iliyoonesha Warioba ni mwizi, you the rich in idiocy, shut up you stinking mouth.Muulize zile Hela za Kampuni ya MWANANCHI GOLD walizoiba Benki Kuu, ndio utajua nyeupe na nyeusi zake
Warioba amesema jibu kwa hoja.. Unamshambulia binafsi, badala ya kuweka hoja..... Uhuru wa kujieleza umeporwa, kuna mtu bado anafikiri kuna katiba mpya ??Polepole na Bashiru ni kundi la yule aliyekata moto, na halikumtaka SSH achukue uongozi. Polepole katika kumhami kaka yake, kamitumia Warioba aliyekuwa naye Tume ya Katiba ili atoe kauli ya kumlinda. Mzee naye akishaonyeshwa mpunga, huwa anaropoka haraka sana.
Polepole alikuwa na Warioba wakisaka posho, mpaka Makonda akamchapa mateke Jaji Warioba baada ya hapo alipunguza wenge. Sasa naona wenge linarudi kwa kasi.
Kuna watu walishazoea kupewa tenda za ushauri ikulu, mmoja wapo ni Jaji Warioba(sijui Jaji wa nini, maana hajawahi kuhukumu kesi yoyote). Akiachwa nje huwa anachanganyikiwa, anajihisi na kujilinganisha na Nyerere, wakati katika kashfa ya MWANANCHI GOLD alipiga Hela ndefu za dhahabu pale Benki Kuu.
Mawaziri wakuu wenzake wamepumzika, yeye anahangaika huku na kule anapanda ngazi za maghorofa akisaka posho za semina na makongamano, mtu ana miaka karibu themanini anagombea posho na vitoto vilivyozaliwa miaka ya 2000.
Mzee Nyerere alipostaafu alirudi Butiama, huyu nadhani hata kwao hajajenga. Anazurura Dar es salaam tu. Kuna madai alioa mchaga, mchaga akamjengesha nyumba Moshi, kwao hajajenga.
Ndio maana Makonda alimchapa ngwala akiwa katika harakati za kusaka posho.
Asiemuelewa Jaji Warioba, au anayejaribu kumchafua kwa njia yoyote, huyo ana matatizo ya akili.
Hiki kichwa kilichoiandaa ile Rasimu ya Katiba mkiache kabisa, nitaendelea kukiheshimu maisha yangu yote.
Hamna uwezo wa kushindana kwa hoja na Jaji Warioba, narudia tena; hamna uwezo huo, nyie tegemeeni mipasho yenu ya kimwambao tu kujibu hoja zake, kwasababu hiyo ndio silaha yenu kuu awamu hii.
Ata mipigeni ohoo 😂😂Wapemba bana
Kichwa Maji weee, Acha kutukana wazee utalaaniwaa. Kamuulize makonda.Polepole na Bashiru ni kundi la yule aliyekata moto, na halikumtaka SSH achukue uongozi. Polepole katika kumhami kaka yake, kamitumia Warioba aliyekuwa naye Tume ya Katiba ili atoe kauli ya kumlinda. Mzee naye akishaonyeshwa mpunga, huwa anaropoka haraka sana.
Polepole alikuwa na Warioba wakisaka posho, mpaka Makonda akamchapa mateke Jaji Warioba baada ya hapo alipunguza wenge. Sasa naona wenge linarudi kwa kasi.
Kuna watu walishazoea kupewa tenda za ushauri ikulu, mmoja wapo ni Jaji Warioba(sijui Jaji wa nini, maana hajawahi kuhukumu kesi yoyote). Akiachwa nje huwa anachanganyikiwa, anajihisi na kujilinganisha na Nyerere, wakati katika kashfa ya MWANANCHI GOLD alipiga Hela ndefu za dhahabu pale Benki Kuu.
Mawaziri wakuu wenzake wamepumzika, yeye anahangaika huku na kule anapanda ngazi za maghorofa akisaka posho za semina na makongamano, mtu ana miaka karibu themanini anagombea posho na vitoto vilivyozaliwa miaka ya 2000.
Mzee Nyerere alipostaafu alirudi Butiama, huyu nadhani hata kwao hajajenga. Anazurura Dar es salaam tu. Kuna madai alioa mchaga, mchaga akamjengesha nyumba Moshi, kwao hajajenga.
Ndio maana Makonda alimchapa ngwala akiwa katika harakati za kusaka posho.
Bahati mbaya, punguani kama huyu mleta mada, sidhani kama ataambulia chochote kwenye huu mchango wako mzuri. Lakini isikatishe tamaa hata hawa low minds ni sehemu ya jamii yetu, tuwavumilie..Acheni porojo. Jibuni hoja. Nchi yetu haiendelei kwa sababu ya kulindana.
Mtu akitoa hoja zake za Msingi, wajinga wengi hawajibu hoja. Kinyume chake wanaanza kumshambulia tu.
Tusiuendekeze ujinga wa kumshambulia mtu aliyetoa maoni yake. Badala yake tujikite kujibu hoja kwa hoja.
"BANGO LIKICHANWA BASI UJUMBE UMEFIKA"Polepole na Bashiru ni kundi la yule aliyekata moto, na halikumtaka SSH achukue uongozi. Polepole katika kumhami kaka yake, kamitumia Warioba aliyekuwa naye Tume ya Katiba ili atoe kauli ya kumlinda. Mzee naye akishaonyeshwa mpunga, huwa anaropoka haraka sana.
Polepole alikuwa na Warioba wakisaka posho, mpaka Makonda akamchapa mateke Jaji Warioba baada ya hapo alipunguza wenge. Sasa naona wenge linarudi kwa kasi.
Kuna watu walishazoea kupewa tenda za ushauri ikulu, mmoja wapo ni Jaji Warioba(sijui Jaji wa nini, maana hajawahi kuhukumu kesi yoyote). Akiachwa nje huwa anachanganyikiwa, anajihisi na kujilinganisha na Nyerere, wakati katika kashfa ya MWANANCHI GOLD alipiga Hela ndefu za dhahabu pale Benki Kuu.
Mawaziri wakuu wenzake wamepumzika, yeye anahangaika huku na kule anapanda ngazi za maghorofa akisaka posho za semina na makongamano, mtu ana miaka karibu themanini anagombea posho na vitoto vilivyozaliwa miaka ya 2000.
Mzee Nyerere alipostaafu alirudi Butiama, huyu nadhani hata kwao hajajenga. Anazurura Dar es salaam tu. Kuna madai alioa mchaga, mchaga akamjengesha nyumba Moshi, kwao hajajenga.
Ndio maana Makonda alimchapa ngwala akiwa katika harakati za kusaka posho.