Jaji Warioba ni sehemu ya kikundi cha chokochoko dhidi ya Rais Samia, wakati anavamiwa na Makonda, alikuwa na Polepole, rafiki ya Bashiru

Kuna vitoto ni vipumbavu sana nchi hii. Vikishashiba ugali vinaropoka tu. Hebu fikiria kuna kazezeta kanapata ujasiri wa kuhoji hata Elimu ya Mzee Warioba wakati vimesoma hivyo vyuo vyao vikiwa vinaongozwa na makada ya chama, sasa ukiambiwa kuna vitoto vina laaana unabisha nini.
 
Wewe usieutambua ujaji wa Warioba unastahili kuitwa Takataka la CCM-Asali.

Kwa taarifa yako iko hivi......

"Joseph Sinde Warioba"

"Former Prime Minister of Tanzania
Joseph Sinde Warioba served as Prime Minister of Tanzania from 1985 to 1990. Furthermore, he served concurrently as the country's Vice President. He has also served as a judge on the East African Court of Justice, and as chairman of the Tanzanian Constitutional Review Commission since 2012. Wikipedia

Born: September 3, 1940 (age 82 years), Bunda District

Education: The Hague Academy of International Law (1970)

Previous office: Prime Minister of Tanzania (1985–1990)

Party: Chama Cha Mapinduzi"

Sasa wewe Chinembe Dodoki wa Walamba Asali njoo utuletee CV yako na wewe tuisome!

chiembe Jitambuwe na uache kutumika ki-taahira!View attachment 2423870
Warioba hana hadhi ya ujaji, na hakuna hukumu aliyowahi kutoa, hawa ndio wale wakiitwa na wajita "YEGO JAJI" basi tayari anajiona jaji
 
ccm kuna majinga mengi sijawahi kuona wakiongozwa na magwangala ya nzega vijijini.
 
Polepole na Bashiru ni kundi la yule aliyekata moto, na halikumtaka SSH achukue uongozi. Polepole katika kumhami kaka yake, kamitumia Warioba aliyekuwa naye Tume ya Katiba ili atoe kauli ya kumlinda. Mzee naye akishaonyeshwa mpunga, huwa anaropoka haraka sana.

Polepole alikuwa na Warioba wakisaka posho, mpaka Makonda akamchapa mateke Jaji Warioba baada ya hapo alipunguza wenge. Sasa naona wenge linarudi kwa kasi.

Kuna watu walishazoea kupewa tenda za ushauri ikulu, mmoja wapo ni Jaji Warioba(sijui Jaji wa nini, maana hajawahi kuhukumu kesi yoyote). Akiachwa nje huwa anachanganyikiwa, anajihisi na kujilinganisha na Nyerere, wakati katika kashfa ya MWANANCHI GOLD alipiga Hela ndefu za dhahabu pale Benki Kuu.

Mawaziri wakuu wenzake wamepumzika, yeye anahangaika huku na kule anapanda ngazi za maghorofa akisaka posho za semina na makongamano, mtu ana miaka karibu themanini anagombea posho na vitoto vilivyozaliwa miaka ya 2000.

Mzee Nyerere alipostaafu alirudi Butiama, huyu nadhani hata kwao hajajenga. Anazurura Dar es salaam tu. Kuna madai alioa mchaga, mchaga akamjengesha nyumba Moshi, kwao hajajenga.

Ndio maana Makonda alimchapa ngwala akiwa katika harakati za kusaka posho.
Taasisi ya kuchapa ngwala na kudhalilisha wazee duh ! 😂😂😂
 
Polepole na Bashiru ni kundi la yule aliyekata moto, na halikumtaka SSH achukue uongozi. Polepole katika kumhami kaka yake, kamitumia Warioba aliyekuwa naye Tume ya Katiba ili atoe kauli ya kumlinda. Mzee naye akishaonyeshwa mpunga, huwa anaropoka haraka sana.

Polepole alikuwa na Warioba wakisaka posho, mpaka Makonda akamchapa mateke Jaji Warioba baada ya hapo alipunguza wenge. Sasa naona wenge linarudi kwa kasi.

Kuna watu walishazoea kupewa tenda za ushauri ikulu, mmoja wapo ni Jaji Warioba(sijui Jaji wa nini, maana hajawahi kuhukumu kesi yoyote). Akiachwa nje huwa anachanganyikiwa, anajihisi na kujilinganisha na Nyerere, wakati katika kashfa ya MWANANCHI GOLD alipiga Hela ndefu za dhahabu pale Benki Kuu.

Mawaziri wakuu wenzake wamepumzika, yeye anahangaika huku na kule anapanda ngazi za maghorofa akisaka posho za semina na makongamano, mtu ana miaka karibu themanini anagombea posho na vitoto vilivyozaliwa miaka ya 2000.

Mzee Nyerere alipostaafu alirudi Butiama, huyu nadhani hata kwao hajajenga. Anazurura Dar es salaam tu. Kuna madai alioa mchaga, mchaga akamjengesha nyumba Moshi, kwao hajajenga.

Ndio maana Makonda alimchapa ngwala akiwa katika harakati za kusaka posho.
Hawa walikupa likes hawana akili
 
Polepole na Bashiru ni kundi la yule aliyekata moto, na halikumtaka SSH achukue uongozi. Polepole katika kumhami kaka yake, kamitumia Warioba aliyekuwa naye Tume ya Katiba ili atoe kauli ya kumlinda. Mzee naye akishaonyeshwa mpunga, huwa anaropoka haraka sana.

Polepole alikuwa na Warioba wakisaka posho, mpaka Makonda akamchapa mateke Jaji Warioba baada ya hapo alipunguza wenge. Sasa naona wenge linarudi kwa kasi.

Kuna watu walishazoea kupewa tenda za ushauri ikulu, mmoja wapo ni Jaji Warioba(sijui Jaji wa nini, maana hajawahi kuhukumu kesi yoyote). Akiachwa nje huwa anachanganyikiwa, anajihisi na kujilinganisha na Nyerere, wakati katika kashfa ya MWANANCHI GOLD alipiga Hela ndefu za dhahabu pale Benki Kuu.

Mawaziri wakuu wenzake wamepumzika, yeye anahangaika huku na kule anapanda ngazi za maghorofa akisaka posho za semina na makongamano, mtu ana miaka karibu themanini anagombea posho na vitoto vilivyozaliwa miaka ya 2000.

Mzee Nyerere alipostaafu alirudi Butiama, huyu nadhani hata kwao hajajenga. Anazurura Dar es salaam tu. Kuna madai alioa mchaga, mchaga akamjengesha nyumba Moshi, kwao hajajenga.

Ndio maana Makonda alimchapa ngwala akiwa katika harakati za kusaka posho.
Hivi utaishi kwa kulampa viatu vya watawala mpk lini ukifikiria upate uteuzi bro pambana na maisha yako unapoteza muda na mapambia ya kusaka uteuzi
 
Acheni porojo. Jibuni hoja. Nchi yetu haiendelei kwa sababu ya kulindana.

Mtu akitoa hoja zake za Msingi, wajinga wengi hawajibu hoja. Kinyume chake wanaanza kumshambulia tu.

Tusiuendekeze ujinga wa kumshambulia mtu aliyetoa maoni yake. Badala yake tujikite kujibu hoja kwa hoja.
Lkn pia leo nimefirikia hakuna hoja yoyote bashiru ameleta wal
 
Bi
Polepole na Bashiru ni kundi la yule aliyekata moto, na halikumtaka SSH achukue uongozi. Polepole katika kumhami kaka yake, kamitumia Warioba aliyekuwa naye Tume ya Katiba ili atoe kauli ya kumlinda. Mzee naye akishaonyeshwa mpunga, huwa anaropoka haraka sana.

Polepole alikuwa na Warioba wakisaka posho, mpaka Makonda akamchapa mateke Jaji Warioba baada ya hapo alipunguza wenge. Sasa naona wenge linarudi kwa kasi.

Kuna watu walishazoea kupewa tenda za ushauri ikulu, mmoja wapo ni Jaji Warioba(sijui Jaji wa nini, maana hajawahi kuhukumu kesi yoyote). Akiachwa nje huwa anachanganyikiwa, anajihisi na kujilinganisha na Nyerere, wakati katika kashfa ya MWANANCHI GOLD alipiga Hela ndefu za dhahabu pale Benki Kuu.

Mawaziri wakuu wenzake wamepumzika, yeye anahangaika huku na kule anapanda ngazi za maghorofa akisaka posho za semina na makongamano, mtu ana miaka karibu themanini anagombea posho na vitoto vilivyozaliwa miaka ya 2000.

Mzee Nyerere alipostaafu alirudi Butiama, huyu nadhani hata kwao hajajenga. Anazurura Dar es salaam tu. Kuna madai alioa mchaga, mchaga akamjengesha nyumba Moshi, kwao hajajenga.

Ndio maana Makonda alimchapa ngwala akiwa katika harakati za kusaka posho.
Bila kusahau, mkiti msaidizi wa Tume ya Katiba alikuwa sa100, naye alikuwa sehemu ya chokochoko?

Nani hapo mnafiki?
 
Polepole na Bashiru ni kundi la yule aliyekata moto, na halikumtaka SSH achukue uongozi. Polepole katika kumhami kaka yake, kamitumia Warioba aliyekuwa naye Tume ya Katiba ili atoe kauli ya kumlinda. Mzee naye akishaonyeshwa mpunga, huwa anaropoka haraka sana.

Polepole alikuwa na Warioba wakisaka posho, mpaka Makonda akamchapa mateke Jaji Warioba baada ya hapo alipunguza wenge. Sasa naona wenge linarudi kwa kasi.

Kuna watu walishazoea kupewa tenda za ushauri ikulu, mmoja wapo ni Jaji Warioba(sijui Jaji wa nini, maana hajawahi kuhukumu kesi yoyote). Akiachwa nje huwa anachanganyikiwa, anajihisi na kujilinganisha na Nyerere, wakati katika kashfa ya MWANANCHI GOLD alipiga Hela ndefu za dhahabu pale Benki Kuu.

Mawaziri wakuu wenzake wamepumzika, yeye anahangaika huku na kule anapanda ngazi za maghorofa akisaka posho za semina na makongamano, mtu ana miaka karibu themanini anagombea posho na vitoto vilivyozaliwa miaka ya 2000.

Mzee Nyerere alipostaafu alirudi Butiama, huyu nadhani hata kwao hajajenga. Anazurura Dar es salaam tu. Kuna madai alioa mchaga, mchaga akamjengesha nyumba Moshi, kwao hajajenga.

Ndio maana Makonda alimchapa ngwala akiwa katika harakati za kusaka posho.
Siku ukijua kuwa SA100 ndiyo chokochoko mkuu hapa tz ,ndiyo utakuwa umeanza kupata akili
 
Kaka tuwashambulie wengine lakini si Jaji Warioba, watanzania hawatatuelewa kabisa tutatumia nguvu kubwa ambayo results yake itakuwa Zero.

Kama tuna ugomvi na Katibu wetu mkuu Mstaafu wa chama basi tupambane naye yeye na washirika wake ila Jaji tumwache maana kalifanyia taifa hili mambo mengi tena ya msingi.

Kumwingiza Jaji kwenye mtanange huu tutakuwa tumemkosea sana na tutakwama mapema asubuhi.

Kingine sisi CCM tujikite kwenye hoja na si kuanza maneno ya kejeli na matusi, hapa ndipo tunapozidiwa na wenzetu wa upande wa pili, huu utamaduni wa matusi na dhihaka tuuache mara moja kwani haujawahi kutusaidia.

Hoja ya wenzetu hata kama ni ndani ya chama chetu basi ijibiwe wa hoja na si wa vioja ili wananchi nao waone kinachoendelea.

CCM ni chama kikubwa.
Hongera mkuu hoja kwa hoja kuna wapumbavu kama msukuma na kibajaji hovyo kabisa hawa watu
 
Polepole na Bashiru ni kundi la yule aliyekata moto, na halikumtaka SSH achukue uongozi. Polepole katika kumhami kaka yake, kamitumia Warioba aliyekuwa naye Tume ya Katiba ili atoe kauli ya kumlinda. Mzee naye akishaonyeshwa mpunga, huwa anaropoka haraka sana.

Polepole alikuwa na Warioba wakisaka posho, mpaka Makonda akamchapa mateke Jaji Warioba baada ya hapo alipunguza wenge. Sasa naona wenge linarudi kwa kasi.

Kuna watu walishazoea kupewa tenda za ushauri ikulu, mmoja wapo ni Jaji Warioba(sijui Jaji wa nini, maana hajawahi kuhukumu kesi yoyote). Akiachwa nje huwa anachanganyikiwa, anajihisi na kujilinganisha na Nyerere, wakati katika kashfa ya MWANANCHI GOLD alipiga Hela ndefu za dhahabu pale Benki Kuu.

Mawaziri wakuu wenzake wamepumzika, yeye anahangaika huku na kule anapanda ngazi za maghorofa akisaka posho za semina na makongamano, mtu ana miaka karibu themanini anagombea posho na vitoto vilivyozaliwa miaka ya 2000.

Mzee Nyerere alipostaafu alirudi Butiama, huyu nadhani hata kwao hajajenga. Anazurura Dar es salaam tu. Kuna madai alioa mchaga, mchaga akamjengesha nyumba Moshi, kwao hajajenga.

Ndio maana Makonda alimchapa ngwala akiwa katika harakati za kusaka posho.
Warioba always hapindishi penye ukwel atasema ingawa inakua mbaya kwa chama chake maan ukwel kwao ni jinai. Halafu usilete mamb ya chokochoko ndo kitu gan!!
 
Polepole na Bashiru ni kundi la yule aliyekata moto, na halikumtaka SSH achukue uongozi. Polepole katika kumhami kaka yake, kamitumia Warioba aliyekuwa naye Tume ya Katiba ili atoe kauli ya kumlinda. Mzee naye akishaonyeshwa mpunga, huwa anaropoka haraka sana.

Polepole alikuwa na Warioba wakisaka posho, mpaka Makonda akamchapa mateke Jaji Warioba baada ya hapo alipunguza wenge. Sasa naona wenge linarudi kwa kasi.

Kuna watu walishazoea kupewa tenda za ushauri ikulu, mmoja wapo ni Jaji Warioba(sijui Jaji wa nini, maana hajawahi kuhukumu kesi yoyote). Akiachwa nje huwa anachanganyikiwa, anajihisi na kujilinganisha na Nyerere, wakati katika kashfa ya MWANANCHI GOLD alipiga Hela ndefu za dhahabu pale Benki Kuu.

Mawaziri wakuu wenzake wamepumzika, yeye anahangaika huku na kule anapanda ngazi za maghorofa akisaka posho za semina na makongamano, mtu ana miaka karibu themanini anagombea posho na vitoto vilivyozaliwa miaka ya 2000.

Mzee Nyerere alipostaafu alirudi Butiama, huyu nadhani hata kwao hajajenga. Anazurura Dar es salaam tu. Kuna madai alioa mchaga, mchaga akamjengesha nyumba Moshi, kwao hajajenga.

Ndio maana Makonda alimchapa ngwala akiwa katika harakati za kusaka posho.
CCM inapasukia patamu
 
Wana CCM wanapinga utaratibu alioutumia Bashiru kutoa hoja zake. Kila taasisi ina miiko na taratibu zake. CCM ina miiko na taratibu zake. Mwanachama anaruhusiwa kutoa hoja kuhusu jambo lolote, lakini kwenye vikao vya cha chake. Kama hoja yake itakuwa na mashiko itaendelea kupanda kwenye ngazi za vikao mpaka ifike taifa inakuwa hoja ya kitaifa. Bashiru analijua hilo. Yeye mbunge angewasilisha hoja yake kwenye vikao vya chamq.
Pale alikuwa na wanachama hoja aipeleke wapi wakati ndo anaongea na wanachama unajua mambo mengine mnarefusha tu badala yaishe hapohapo ndo maana machawa walimchukia sana makufuli hoja ikimfikia alikuwa anaamua hapohapo kwasababu ikipita bungeni itachukua miaka mwanaume alikuwa anaamua papo kwa papo ndo ilivyo kuwa kwa bashiru aliamua kuongea moja kwa moja hapohapo
 
Back
Top Bottom