HesabuKali
JF-Expert Member
- Jan 4, 2016
- 2,733
- 5,554
Kuna vitoto ni vipumbavu sana nchi hii. Vikishashiba ugali vinaropoka tu. Hebu fikiria kuna kazezeta kanapata ujasiri wa kuhoji hata Elimu ya Mzee Warioba wakati vimesoma hivyo vyuo vyao vikiwa vinaongozwa na makada ya chama, sasa ukiambiwa kuna vitoto vina laaana unabisha nini.