Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,564
- 7,973
Ni kama zilivyo dhaifu na za kishamba zile za Kupinga ubunge wa
Igunga.Too low hata mimi kama ni hakimu nazitupilia mbali.
Kamanda vipi mbona siku hizi umekuwa mtu wa kupondea sana, nini kimetokea hapo kati? Ila ukweli mmoja ni kwamba moto wa Chadema unawawakia na mnalitambua hilo, sema tu ubishi wenu kuonyesha kwamba hamkubali lakini moyoni mnasononeka.