chitambikwa
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 3,941
- 900
Wameniongezea kasi ya kufungua matawi hapa kaisho
Majaji wote ni wateule wa Rais ni watu wake wa karibu mbona kesi za singida na sumbawanga na Biharamuro ushindi ulikwenda chadema?
Kama ni ubovu wa jaji ni yeye mwenyewe hakuna kesi ambayo Rais angeshindwa kuingilia kama angeamua kuinyima uhuru mahakama.
jaji ni binadamu kama hatuna imani na alivyoendesha kesi ni kwa sababu ya ubinadamu wake.
Mbona Chadema ikishinda huwa hamtuletei wasifu wa jaji? au mnataka kila siku mshinde nyie?
CDM kwenye hili msimlaumu mtu hoja za mpendazoe zilikuwa dhaifu sana na hazina mashiko kama chama chenyewe kilivyo kibabaishaji na hoja za uzandiki
Jaji kuteuliwa na rais haifanyi Jaji asiwe huru, unless huyo jaji ni kichwa maji, hajiamini na hajasoma!
Mbona Utouh anateuliwa na rais na anaibua ma issue kila siku?
Swala sio anateuliwa na nani bali ni mfumo gani mzuri wa kuweka ili wafanye kazi bila woga.
nimeikuta hii kwa wachangiaji ktk facebook wall ya heche.
nanukuu
" Mimi binafsi nilijua wazi juu ya hilo,kwani hata alipokamatwa na kura na kupelekwa polisi buguruni.Rais kikwete ndio aliyempigia simu mkuu wa polisi kwamba amwachie mara moja.Kama ilishakuwa hivyo nani anaweza kuwa juu ya rais,hata mahakama zinamuangalia rais kabla ya kutoa maamuzi yake.Pia niwape taarifa za ndani,imetolewa amri kutoka kwa mweshiwa kwenda kwa mahakimu wote wanaosimamia kesi zote zinazopiga matokeo ya ccm nchini kote kuhakikisha ccm inashinda kesi hizo.Yule hakimu aliyeipa ushindi chadema kwenye ile kesi sumbawanga,amerudishwa makao makuu na atapangiwa kazi nyingine kwa kukaidi agizo hilo.HII NI SAFARI,HUWEZI KUZUIA WATU WASISAFIRI KWA KUWA NI LAZIMA WATU WATASAFIRI.TUSONGE MBELE.PEOPLES,POWER."
mwisho wa kunukuu
CDM kwenye hili msimlaumu mtu hoja za mpendazoe zilikuwa dhaifu sana na hazina mashiko kama chama chenyewe kilivyo kibabaishaji na hoja za uzandiki
Dume la mbegu gani ana hoja za kike hasumbui kichwa chake.CDM kwenye hili msimlaumu mtu hoja za mpendazoe zilikuwa dhaifu sana na hazina mashiko kama chama chenyewe kilivyo kibabaishaji na hoja za uzandiki
Jaji kuteuliwa na rais haifanyi Jaji asiwe huru, unless huyo jaji ni kichwa maji, hajiamini na hajasoma!
Mbona Utouh anateuliwa na rais na anaibua ma issue kila siku?
Swala sio anateuliwa na nani bali ni mfumo gani mzuri wa kuweka ili wafanye kazi bila woga.
Kidumu chama cha mapinduzi
ccm ccm ccm ccm............
Ccm oyeeeeeeeeeeee!!!
CDM kwenye hili msimlaumu mtu hoja za mpendazoe zilikuwa dhaifu sana na hazina mashiko kama chama chenyewe kilivyo kibabaishaji na hoja za uzandiki
hapo tu ndo umeniudhi.Usimfananishe mtu mmoja mmoja na dini nzima ya Uislamu.Mapungufu yake mpe mweyewe ayabebe sio kumhuhsisha na dini coz hata sisi ni wanaCHADEMA na niwaislamu.Dont confuse
Hapo umeteleza marytinapia ni muislam kama ilivyo ccm