johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,803
- 143,272
Msajili wa Vyama vya Siasa nchini Jaji Mutungi amesema Ofisi yake imepokea maombi ya vyama vipya 18.
Kati ya hivyo vyama 6 vimeshakidhi vigezo na kupewa Usajili wa Muda/awali.
Mutungi amesema endapo vyama vyote 18 vitafanikiwa kupata Usajili Nchi Yetu itakuwa na vyama vya Siasa 39.
Source: Mwananchi
Kati ya hivyo vyama 6 vimeshakidhi vigezo na kupewa Usajili wa Muda/awali.
Mutungi amesema endapo vyama vyote 18 vitafanikiwa kupata Usajili Nchi Yetu itakuwa na vyama vya Siasa 39.
Source: Mwananchi