Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 4,783
- 14,975
Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Masijala Ndogo ya Simiyu, Hussein Mtembwa amesema kliniki hiyo inasaidia kupunguza mrundikano wa mashauri yanayotokana na migogoro ya ardhi ambayo imekuwa ikichangia kwa kiasi kikubwa ongezeko la kesi katika mahakama za mkoa huo.