migogoro ya ardhi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. A

    JamiiForums Tanzania Dodoma Jiji wamefika Itumbi - Mtaa wa Nghonghona, Dodoma kutatua kero za migogoro ya ardhi

    Kwanza nianze kwa kusema asante sana JamiiForums kwa kufikisha ujumbe wetu kwa umma na hatimaye kufika kwa mabosi wa juu, kwani muda mfupi baada ya taarifa hiyo kuhusu changamoto ya ardhi kwa Wakazi wa eneo la Itumbi, Mtaa wa Nghonghona jijini Dodoma, wahusika wamefika na hatua zimeanza...
  2. A

    JamiiForums Tanzania KERO Tunaomba Serikali iweze kufuatilia changamoto za ardhi zinazojitokeza katika maeneo ya mkoa wa Ruvuma, hususan Mtangimbole

    Tunaomba Serikali na mamlaka husika kufuatilia changamoto za ardhi zinazodaiwa kujitokeza katika baadhi ya maeneo ya Mkoa wa Ruvuma, hususan Kijiji cha Mtangimbole. Inadaiwa kuwa baadhi ya viongozi wa serikali ya kijiji huuza maeneo au mashamba ambayo tayari yana wamiliki halali. Hata katika...
  3. Wizara ya Ardhi

    JamiiForums Tanzania Dkt. Akwilapo: Wizara kuendelea kutoa hati za ardhi kupunguza migogoro Kwimba

    Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Dkt. Leonard Akwilapo amesema Wizara yake itaendelea kuhakikisha wamiliki wa ardhi wanapatiwa hati miliki ili kutatua na kupunguza migogoro ya ardhi nchini. Dkt. Akwilapo amesema hayo Julai 6, 2026 wilayani Kwimba mkoani Mwanza wakati wa...
  4. Wizara ya Ardhi

    JamiiForums Tanzania Serikali yapiga hatua kubwa kutatua migogoro ya Ardhi na kuboresha Huduma

    Dodoma, Tanzania Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, chini ya uongozi wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, inaendelea kuandika historia mpya katika sekta ya ardhi kwa kuhakikisha migogoro ya muda mrefu inapatiwa suluhu ya kudumu na huduma kwa wananchi zinaboreshwa kupitia teknolojia ya...
  5. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Jaji Mtembwa: Samia Ardhi Kliniki, Chachu Ya Kupunguza Migogoro Ya Ardhi Simiyu

    Mahakama Kuu ya Tanzania, Masijala Ndogo ya Simiyu inaunga mkono juhudi zinazofanywa na Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kwa kuanzisha Kliniki Maalumu ya Wanawake “Samia Ardhi Kliniki” ambayo ni chachu ya kupunguza migogoro kabla ya kufikishwa Mahakamani. Jaji wa Mahakama Kuu ya...
  6. H

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu: Serikali kuangalia upya migogoro ya ardhi nchini

    WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema kuwa Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan inaangalia upya suala la changamoto ya ardhi nchini. Amesema kuwa haiwezekani kuwepo na migogoro ya ardhi ya muda mrefu ambayo haiishi hadi kufikia hatua ya kutishia undugu...
  7. H

    JamiiForums Tanzania WAZIRI MKUU: SERIKALI KUANGALIA UPYA MIGOGORO YA ARDHI NCHINI

    WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema kuwa Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan inaangalia upya suala la changamoto ya ardhi nchini. Amesema kuwa haiwezekani kuwepo na migogoro ya ardhi ya muda mrefu ambayo haiishi hadi kufikia hatua ya kutishia undugu...
  8. W

    JamiiForums Tanzania Makonda: Migogoro ya Ardhi itapungua wananchi wakisikilizwa mapema

    Migogoro ya ardhi imeelezwa kuwa inaweza kupunguzwa kwa kuimarisha mfumo wa kusikiliza na kutatua changamoto za wananchi mapema kabla hazijafikishwa mahakamani. Hayo yameelezwa jana Jumatano Februari 25, 2026 na Mbunge wa Arusha Mjini, ambaye pia ni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo...
  9. Mafyangula

    JamiiForums Tanzania DC Mpogolo: Watu wenye fedha ambao hutumia vibaya pesa zao kununua migogoro ya ardhi

    Mkuu wa Wilaya ya Ilala mkoani Dar es Salaam, Edward Mpogolo, amesema migogoro ya ardhi ni changamoto ya kimataifa inayohitaji suluhu endelevu, huku akibainisha kuwa mabaraza ya ardhi ya kata ni nguzo muhimu katika upatanishi wa wananchi. “Wapo watu wenye fedha ambao hutumia vibaya pesa zao...
  10. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania GE2025 Dkt. Samia: Nipeni tena urais, migogoro ya ardhi itakoma

    Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameahidi kuendeleza programu ya "Tutunzane" ili kukomesha migogoro ya ardhi kati ya wafugaji na wakulima, endapo atachaguliwa kuwa Rais kwa awamu nyingine. Akizungumza na wananchi wa...
  11. A

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Michezo michafu inayofanywa na watu wa Ardhi Bagamoyo

    Kuna uovu unaendelea kwenye halimashauri ya bagamoyo na wizara ya ardhi ambapo kuna watendaji wanabiashara ya siri ya uchuuzi wa viwanja kwenye maeneo ya wananchi kwa kutumia migogoro hasa ya mashamba makubwa yaliyomilikishwa kwa hati zamani bila kufuata taratibu stahiki. Picha yenyewe iko hivi...
  12. Wizara ya Ardhi

    JamiiForums Tanzania Taarifa ya uchunguzi migogoro ya ardhi Pwani yawasilishwa kwa Ndejembi

    WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Deogratius Ndejembi amefanya kikao kazi cha pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhe. Abubakary Kunenge chenye lengo la kupokea Taarifa ya Timu ya Wataalam iliyoundwa na Wizara kwa ajili ya kuchunguza migogoro mbalimbali ya ardhi Mkoani humo...
  13. Masalu Jacob

    JamiiForums Tanzania Kwa kuwa JWTZ inahusika na ulinzi wa mipaka ya nchi sio vibaya wakapewa jukumu la ulinzi wa ardhi ili kuondoa migogoro ya ardhi

    Habari Tanzania ! Natamani sana siku moja ardhi hii ya Tanzania isimamiwe na kuangaliwa toka moja kwa moja ofisi za JWT. Usalama wa nchi ni sambamba na ardhi. Kwa kuwa chombo cha JWTZ kinahusika na ulinzi wa mipaka ya nchi sio vibaya wakapewa jukumu la ulinzi wa ardhi. 1. Hakutakuwa na...
  14. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Dk. Biteko awataka Viongozi kuepuka uuzaji wa ardhi, wajikite kutatua migogoro

    Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko amewataka viongozi nchini kuepuka vitendo vya kuuza ardhi, badala yake wajikite katika kutatua migogoro inayohusiana na ardhi. Ametoa kauli hiyo leo, Jumatano Aprili 23, 2025, wakati wa mkutano wa hadhara uliofanyika katika Shule ya...
  15. KUNGUNIMSOMI

    JamiiForums Tanzania Pongezi, Petro Magoti kwa kutatua migogoro ya ardhi Kisarawe

    Katika kuendelea na juhudi za kutatua migogoro ya ardhi, Mkuu wa Wilaya, Petro Magoti, amekuwa akifanya mikutano ya mara kwa mara na jamii, ambapo anawapa fursa wananchi kutoa maoni yao kuhusu masuala ya ardhi. Mikutano hii inasaidia kujenga uelewa wa pamoja na kuimarisha ushirikiano kati ya...
  16. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Morogoro: Mzee Yahaya auawa kwa kucharangwa mapanga na watu wanaodaiwa kuwa ni 'Wafugaji'

    Mkazi wa Kijiji cha Lubungo Kata ya Mikese wilayani Morogoro Mzee Yahaya Yahaya, anayekadiriwa kuwa na Umri wa Miaka 70 hadi 80, ameuawa kwa kucharangwa mapanga na watu wanaodaiwa kuwa ni Wafugaji, wakati akijaribu kuwazuia wasiingize Mifugo shambani kwake, hali iliyosababisha wananchi kugomea...
  17. Ojuolegbha

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Wasira atoa maelekezo kusaidia wananchi mgogoro wa Mbarali

    CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeielekeza Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Mkazi, na Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Dk. Juma Homera kuweka utaratibu mzuri wa kugawa sehemu ya ardhi kwa wananchi wa Mbarali itumike kwa shughuli za maendeleo hususan kilimo. Hatu hiyo imetokana na malalamiko ya...
  18. Dalali wa Mjini

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kisheria kuhusu Ardhi

    Habari wakuu. Kuna mhusika ana eneo lake ukubwa ni heka moja Kwa vipimo vya macho lakini ndani ya Hilo eneo Kuna nguzo ya umeme laini kubwa ile ya 33. Sasa anataka kupeleka wataalamu wa Ardhi kwajili ya kupima ili kuweka mawe ya Ardhi (Bikoni). Gharama zimekaaje hapo wakuu na Je anaweza...
  19. GEBA2013

    JamiiForums Tanzania Rais Samia aagiza migogoro ya ardhi wilaya Kilindi utatuliwe haraka

    Rais Samia ameagiza waziri ya ardhi na tume yake ya clinic ya ardhi wapige kambi kilindi wahakikishe migogoro yote ya ardhi itatuliwe. Wilaya ya kilindi ndyo inayongoza kuwa na migogoro ya ardhi tanzania.kuna migogora ya ardhi 267.wasababhshi wakuu ni viongozi.Kwa hili tunamshukuru rais samia
  20. K

    JamiiForums Tanzania Migogoro ya Ardhi Dodoma: Jinsi viongozi wanavyohusika na udalali wa viwanja

    Habari wanajamii, Mimi ni mkazi wa Dodoma tangu mwaka 1998, na kwa miaka yote hii, nimeshuhudia migogoro mingi ya ardhi, ambayo mara nyingi inachochewa na viongozi tuliowapa dhamana. Imekuwa kawaida kwa wengi kuwania nafasi za uenyekiti wa mtaa, udiwani, na nafasi nyingine za uongozi si kwa...
Back
Top Bottom