Jaji Mkuu, Prof. Ibrahim Juma: DPP ni chujio la kwanza la haki

beth

JF-Expert Member
Aug 19, 2012
3,877
6,326
Jaji Mkuu wa Tanzania, Prof. Ibrahim Juma amesema Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) katika kazi yake anatakiwa kuwa na nia ya kutenda Haki akimtaja chujio la kwanza katika masuala ya Haki.

Pia amesema DPP amepewa wajibu wa kuzuia matumizi mabaya ya taratibu katika mfumo wa utoaji Haki na kuangalia maslahi ya Taifa akiongeza, "Hawezi kuingiliwa na mtu yeyote, hata Jaji Mkuu hana mamlaka ya kuingilia katika kazi yake".

Aidha kwa upande wa maslahi ya Umma, Prof. Juma amesema Mkurugenzi wa Mashtaka lazima asikilize wanacholalamika wananchi na maeneo yenye tatizo.
 
Loooo kweli nchi inakwenda kasi leo mu CJ also he got his voice back!,kauli hizi mbona hukizitoa just 100days zilizopita?woga nawe ulikukabili na njaa ya tumbo kwako na familia yako,namkumbuka my former CJ(F.Nyalali)alifanya kazi bila woga tena under mfumo wa chama kimoja cha siasa.
 
Loooo kweli nchi inakwenda kasi leo mu CJ also he got his voice back!,kauli hizi mbona hukizitoa just 100days zilizopita?woga nawe ulikukabili na njaa ya tumbo kwako na familia yako,namkumbuka my former CJ(F.Nyalali)alifanya kazi bila woga tena under mfumo wa chama kimoja cha siasa.
Huyu hafai kuwa jaji mkuu hata kwa dak 1 maana kutwa analalamika na wakati mahakama ndiyo mhimili wa haki
 
DPP amepewa nguvu kubwa sanaaa.......na katiba sio kosa lake maana anamsikiliza No 1 zaidi anatakaje...hawezi kumbishia
 
Back
Top Bottom