beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Jaji Mkuu wa Tanzania, Prof. Ibrahim Juma amesema Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) katika kazi yake anatakiwa kuwa na nia ya kutenda Haki akimtaja chujio la kwanza katika masuala ya Haki.
Pia amesema DPP amepewa wajibu wa kuzuia matumizi mabaya ya taratibu katika mfumo wa utoaji Haki na kuangalia maslahi ya Taifa akiongeza, "Hawezi kuingiliwa na mtu yeyote, hata Jaji Mkuu hana mamlaka ya kuingilia katika kazi yake".
Aidha kwa upande wa maslahi ya Umma, Prof. Juma amesema Mkurugenzi wa Mashtaka lazima asikilize wanacholalamika wananchi na maeneo yenye tatizo.
Pia amesema DPP amepewa wajibu wa kuzuia matumizi mabaya ya taratibu katika mfumo wa utoaji Haki na kuangalia maslahi ya Taifa akiongeza, "Hawezi kuingiliwa na mtu yeyote, hata Jaji Mkuu hana mamlaka ya kuingilia katika kazi yake".
Aidha kwa upande wa maslahi ya Umma, Prof. Juma amesema Mkurugenzi wa Mashtaka lazima asikilize wanacholalamika wananchi na maeneo yenye tatizo.