FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,806
Tunatoa pole nyingi sana kwa Jaji Mkuu Mohamed Othman Chande kwa kuondokewa na mwanawe wa kiume Said Mohamed Chande, jana jioni, maziko yanafanyika leo huko Tanga.
Tunakuombea Allah akupe subra katika wakati huu mgumu.
Rais Kikwete akimfariji Jaji Mkuu Mohamed Chande kufuatia kifo cha mwanaye Said Mohamed Chande kwenye mazishi
