LESIRIAMU
JF-Expert Member
- Feb 12, 2008
- 8,721
- 13,959
Lakini pia nadhani sio lazima kila hoja inayo wasilishwa mahakamani na wapelelezi hakimu akubliane nayo... Hivi mtu umetuhumiwa kwa kosa la kutoa mimba lakini charge sheet ina wekwa uhujumu uchumi na utkatishaji pesa bado hakimu ana funga dhamana?? Is this fair??
Sent using Jamii Forums mobile app
Maoni binafsi usiyashabihishe na uraia wa mtu. Gharama za kumtunza 'mtuhumiwa' huko mahabusu nani anazibeba? Niko pale pale...haraka ya nini kama upepelezi haujakamilika?
Sent using Jamii Forums mobile app