Huyu jaji alitajwa na Lissu kuwa hajui kuandika hukumu, na alishawahi kulalamikiwa na Mzee Alute wa Singida.
Leo nimeamini, kwani ripoti kapika, kupika kwenyewe hajui, haijaiva, halafu akawa anatetemeka tu.
Kwanini Makunga asitoke na ripoti yake ili kujitenga na upotovu wa akina Ihema?
Leo nimeamini, kwani ripoti kapika, kupika kwenyewe hajui, haijaiva, halafu akawa anatetemeka tu.
Kwanini Makunga asitoke na ripoti yake ili kujitenga na upotovu wa akina Ihema?