Ripoti imejaa usanii mtupu.Hivi hawana aibu kuitoa ripoti? Watanzania wa leo siyo wa Kudanganywa.
Hawa watu ni waongo! Waongo! Waongo! Watu wazima hovyoo kabisa! Uovu wao unachukiza mno! Unakasirisha mno! I hate them!
Ripoti imejaa usanii mtupu.Hivi hawana aibu kuitoa ripoti? Watanzania wa leo siyo wa Kudanganywa.
Hujui kuwa Jaji Ihema ndiye alieongoza tume ya Nchimbi kuhusu mauaji ya Mwangosi?
Hujui kuwa amesoma ripoti yake leo, pamoja na mambo mengne akidai
"NGUVU YA POLISI ILIYOTUMIKA KUTAWANYA WATU, HAIKUHUSIKA KUMUUA Mwangosi!"
Na kwamba hawawezi kutaja chanzo cha kifo, wataingilia mahakama!
Sasa ambacho hukuelewa ni nini ewe kichwa ngumu?
Ripoti imejaa usanii mtupu.Hivi hawana aibu kuitoa ripoti? Watanzania wa leo siyo wa Kudanganywa.
lakini mkuu wew bila bakora utaelewa kweli kichwa jiwe, anyway hayo yametokea itv wakati huyo jaj mstaafu anasoma ripoti alikuwa anjiuma na hana amani wala confidence, inaonekana alichokuwa anakisema ni cha uongo
Hujui kuwa Jaji Ihema ndiye alieongoza tume ya Nchimbi kuhusu mauaji ya Mwangosi?
Hujui kuwa amesoma ripoti yake leo, pamoja na mambo mengne akidai
"NGUVU YA POLISI ILIYOTUMIKA KUTAWANYA WATU, HAIKUHUSIKA KUMUUA Mwangosi!"
Na kwamba hawawezi kutaja chanzo cha kifo, wataingilia mahakama!
Sasa ambacho hukuelewa ni nini ewe kichwa ngumu?
Mkuu unapotoa habari, ueleweke siyo kila mmoja kaona hiyo taarifa. JF inasomwa hadi nje ya nchi hivyo brevity is very important
Nenda chooni naona umezidiwa vibaya na .......!Huwezi kubadili hulka ya mtu. Jaji hakuwa akitetemeka wala nini bali ni jinsi anavyoongea kwa wale tunaomjua Jaji siku nyingi ndivyo anavyoongea, ni mtu wa kuongea taratibu na hana haraka wala papara, sasa kwa vile watanzania tumezoea kusikia wanasiasa wanapeta midomo kwa mbwembwe tusitegemee na hawa majaji kuongea kwa mbwembwe.
andika habari ieleweke usidhani kila mtu anaelewa kama unavyoielewa wewe.
dizain fluni habari yako haieleweki
Kwa kuwa walikuwepo wanahabari ndani ya kamati, basi report ni sahihi? Thanx n may God bless youImani ya kuwa Mwangosi aliuawawa na Polisi ndiyo inafanya watu wasikubaline na ripoti. mimi naona wako sahihi. Tukumbuke kuwa ripoti hiyo ilijumuisha wanahabari wenyewe.