Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,883
- 6,884
- Thread starter
- #21
Hivi Tanzania uhuru uliopatikana 61 desemba 9 ilikuwa wa namna gani? Maana wakoloni hawajaacha kumiliki rasilimali zetu kama ilivyokuwa kabla na baada ya uhuru. Ardhi yenye rutuba ya inchi yetu, madini ya thamani ya inchi yetu, wanyama pori wa inchi yetu wao ndiyo wanaomiliki. Na kibaya zaidi wanamadharau sana wametuona sisi wajinga kiasi kwamba wanataka hata kuwaoa watoto wetu wa kiume walale nao kinyume na maumbile. Hivi hawa wazungu kwa nini viongozi wetu wasione hayo yote. Au wanataka kuonyesha kwamba wao ni ule ule uzao wa akina chifu Magungo wa Msevero waliofanya boargas treatment na akina Karl Peters. Tanzania haiko huru hata kidogo hapa ni kwamba tunapigwa changa la macho tu lakini hamna kitu in fact. Tumwombe Mungu tumpate kiongozi jasiri kama Robart Mgabe wa Zambia aje aikomboe nchi yetu kutoka kwa wakolon.
Yeye akiwa mwenyekiti wa tume ya kufuatilia makampuni ya madini amechukua hatua gani badala ya kulalamika kama mimi ambaye sina bakora YA KUWACHAPA HAWA WIZI?