Jaji Bomani: Wageni wanaimaliza nchi kupitia sekta ya madini

Hivi Tanzania uhuru uliopatikana 61 desemba 9 ilikuwa wa namna gani? Maana wakoloni hawajaacha kumiliki rasilimali zetu kama ilivyokuwa kabla na baada ya uhuru. Ardhi yenye rutuba ya inchi yetu, madini ya thamani ya inchi yetu, wanyama pori wa inchi yetu wao ndiyo wanaomiliki. Na kibaya zaidi wanamadharau sana wametuona sisi wajinga kiasi kwamba wanataka hata kuwaoa watoto wetu wa kiume walale nao kinyume na maumbile. Hivi hawa wazungu kwa nini viongozi wetu wasione hayo yote. Au wanataka kuonyesha kwamba wao ni ule ule uzao wa akina chifu Magungo wa Msevero waliofanya boargas treatment na akina Karl Peters. Tanzania haiko huru hata kidogo hapa ni kwamba tunapigwa changa la macho tu lakini hamna kitu in fact. Tumwombe Mungu tumpate kiongozi jasiri kama Robart Mgabe wa Zambia aje aikomboe nchi yetu kutoka kwa wakolon.

Yeye akiwa mwenyekiti wa tume ya kufuatilia makampuni ya madini amechukua hatua gani badala ya kulalamika kama mimi ambaye sina bakora YA KUWACHAPA HAWA WIZI?
 
Watanzania tuache maneno maneno yasioisha,lets start doing,lets be practial,Bomani stop the bullshit mother****er,too much talking is harming the people.
 
Huyu naye amesomea uchumi wapi? Watanzania bwana mwanasheria anaongelea uchumi, mchumi anaongelea siasa, mwanasiasa anaongelea dini, padri/sheikh anaongelea siasa.... bora kila ki2 shaghala baghala mimi sijaona statement ya maana aliyoongea huyu jaji mstahafu.... NB: Alikuwa kwenye at least commercial court? mmmhhhhh galagabaho....
Kwaya haya yanayotokea leo unatakiwa umuombe radhi Kama upo hai.
 
Ndyoko saafi sana, kuna siku huyu Mzee alisema kuwavua mafisadi magamba ni kuharibu amani ya taifa, halafu leo amegeuka tena na hao mediocre media hakuna wa kumlisha matapishi yake na some of us thinks he is a hero kwa kutuambia an empty song ambayo huhitaji instruments wala wapigaji kuiimba cause we can all sing it, badala ya kuwataja cause anawajua mafisadi wote wa huo wimbo anaouimba hasa rafiki yake mpenzi Mkapa na Net Group yao! Ha! Ha! nchi hii bwana wananchi wajinga ndio waliwetu! - Le Baharia
Wewe sindounashangilia na kumsifia magufuli kuhusu haya ya mchanga halafu ulimpinga jaji bomani. We jamaa kweli n DS Sana na pia unajua kuwa waliotufikisha hapa n mkapa na Net group.
Kweli ndo mana kuna jina wanakuita le mpumb*z
 
Back
Top Bottom