King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,632
- 68,560
Hvi huyo jaji ameusomea au ametunukiwa?
Jamani mwenye uthibitisho na hili tetesi tunaomba afunguke zaidi kwani kwani kila unaeongea nae anakwambia ndio ni kweli,sasa mwenye uhakika na detail za kutosha tunaomba amwage hapa jamvini.
uteuzi wake mara nyingi hutegemea wanamtandao walio mwingiza madarakani.Uteuzi wa huyu mkuu wetu wa kaya usiutumie kama kigezo cha usmart wa mtu kimaadili na kiutendaji. Mara nyingi kama siyo mara zote huwa ni kinyume kabisa kabisa na hivyo unavyofikiria! Vigezo vyake vya uteuzi huwa anavifahamu na kuvibuni mwenyewe.
no, kamasutrano, bear back
Jopo
la majaji watatu hao ilikua ni mahakama ya rufaa,nafikiri mleta mada
alimaanisha hukumumu ya mahakama kuu,japo nako aliyetoa hukumu si huyu
jaji aliyemkomoa Lema,alikua ni jaji Thomas Mihayo
thanks
Tuanze kwanza Mujulizi ambaye ndiyo aliyeanza hii kesi alikuwa firm moja na Masha,na soon baada ya mkuu wa kaya kuingia magogoni alimteua Masha kuwa Naibu Waziri then akafuata Mujulizi kuteuliwa kuwa jaji.Uteuzi wa hawa watu wawili ilileta malalamiko mengi sana ikichukuliwa kuwa malipo ya deep green yalifanyika chini ya hii firm na wakati huo huo Riz alikuwa yupo kwenye hii firm.....connect the dot unaweza pata picha.
mujulizi ni mkuu wa chuo cha uongozi wa mahakama lushoto.Alafu jamaa ni kichwa sana ana msimamo thabiti.
We unautaka ili iweje si umuulize mwenyewe acha kusumbua watu
Kwanza, Alishamhukumu Ya Akina Lamwai akawafungia u advocacy akiwa bado magistrate kitu ambacho hakuwa na jurisdiction nacho, Pili ashatukanana na mtikila mahakamani kuwa mtikila aende milembe, ila most of it..kamfungia Lema kutocontest kuwa mbunge kitu amabcho hakuna act inayompa hiyo jurisdiction...he's BOLD..