Mwenzetu
JF-Expert Member
- Dec 16, 2010
- 550
- 193
.................mbona nawe umesoma?Sasa wewe hizi tetesi zako unapost jukwaa la intelligence!!
.................mbona nawe umesoma?Sasa wewe hizi tetesi zako unapost jukwaa la intelligence!!
Taarifa za kiintelijensia zinasema kuwa serikali iko mbioni kumstaaafisha katibu aliyesimamishwa kwa kigezo kuwa umri wake wa kustaafu umetimia. Hayo yanafanyika ili Tume itakayoundwa na bunge itakamilisha kazi yake jamaaa awe amestaafu na maamuzi yoyote yatakayofikiwa yasimguse.
Habari ndiyo hiyo. Tanzania zaidi yauijuavyo!
Pandora's Box Mkuu....Hata akistaafu, tume teule itpendekeza PCCB kufanya uchunguzi. Tume itafungua paradox box.
<br />Taarifa za kiintelijensia zinasema kuwa serikali iko mbioni kumstaaafisha katibu aliyesimamishwa kwa kigezo kuwa umri wake wa kustaafu umetimia. Hayo yanafanyika ili Tume itakayoundwa na bunge itakamilisha kazi yake jamaaa awe amestaafu na maamuzi yoyote yatakayofikiwa yasimguse. <br />
<br />
Habari ndiyo hiyo. Tanzania zaidi yauijuavyo!