Henry john
New Member
- Aug 24, 2011
- 2
- 0
Wajue hata Herode alifika mwisho wake, siku hazigandi
jAIRO NI ZAIDI YA PINDA OHOOJamani huyu Jairo sasa naanza kupatwa na wasiwasi kwamba ni zaidi ya tumjuavyo!
pasuka basiMagwanda mmekosa ya kuandika. Kama uko jikoni badala ya kutujuza mitambo inayoendelea kufungwa Ubungo imefikia wapi, mitambo ambayo ipo njiani inategemewa kuwasili lini, wewe unaongelea mambo ya watu wamevaa nini, wanakwenda wapi, na upuuzi mwingine. <br />
<br />
Kwani Ngeleja na Jairo ndio mara yao ya kwanza kwenda Ikulu? <br />
<br />
Nawashangaa sana kuwa sera yanu ni majungu.
Luhanjo katupokea kwa shangwe kuu amemkumbatia Jairo na kumsifu kuwa ni shujaa!
Kikao kinaendelea,kubwa linalozungumzwa ni hali inayoendelea bungeni na jinzi ya kujihami. Luhanjo anasema ameagizwa kuweka hali ya mambo sawa na mkuu wa kaya!
QUOTE]
Mkuu hii kali! inakuwaje vile?
<br />Wezi gani hao, ni mahakama gani iliyowatia hatiani?
Nipo katikati ya msafara wa hawa wezi sasa wanakwenda kwa bos wao magogoni wakitokea wizarani<br /><br />
Nitawajuza kinachoendelea ndugu zangu!! <br /><br />
Nchi imeisha hii jamani inahitaji mtu mzalendo wa kweli kuikomboa!!<br />
<br />
UPDATES!<br />
<br />
Luhanjo katupokea kwa shangwe kuu amemkumbatia Jairo na kumsifu kuwa ni shujaa!<br />
Kikao kinaendelea,kubwa linalozungumzwa ni hali inayoendelea bungeni na jinzi ya kujihami. Luhanjo anasema ameagizwa kuweka hali ya mambo sawa na mkuu wa kaya!<br />
Nitaendelea kuwajuza!!!
More UPDATES!!
Amini usiamini ikulu ya amua Pinda ajiudhuri!!
Hili linatokana na uzito wa Jairo ndani ya Ikulu, yani wameona bora Pinda ajiuzuru kuliko Jairo!!
Luhanjo anasema mkuu wakaya katoa maagizo eti kinyume na hapo kikwete atavuliwa madaraka!
Kikao kinamalizika na tumeletewa nyama ya kuku ya kukaangwa kwa soda!!
Huwezi amini kumbe yule mwizi mshiriki wa Ikulu ndugu Jairo anapokewa kwa shangwe na wafanyakazi wa wizara ya nishati kwa kulisukuma gari lake kutoka kitegauchumi hadi wizarani
Huwezi amini kumbe yule mwizi mshiriki wa Ikulu ndugu Jairo anapokewa kwa shangwe na wafanyakazi wa wizara ya nishati kwa kulisukuma gari lake kutoka kitegauchumi hadi wizarani
Jamani huyu Jairo sasa naanza kupatwa na wasiwasi kwamba ni zaidi ya tumjuavyo!
<br /><font color="#a52a2a"><b>Hizi habari ni CRAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAP, JK hayupo ikulu yuko ziarani Pemba. Mbona unakuwa kichwa maji hivyo kuleta habari za uchonganishi humu JF????</b></font>
Mie nimeona jina lako la kiume, ila cha kushangaza unaandika umbea.. tafuta kitu cha kufanya. Wanaume hatuko hivyo
Nahisi kama afadhali ya Jairo, huyo mkuu aliyeagiza mambo yawekwe sawa je?
I see! Kwa hiyo unaamini hoja yako ndo' ya kiume?
Ndio,, inapinga umbea na kuongelea watu muda wote. Sasa kuna tofauti gani na waimba taarabu?? Wanaume mizima na mawani lakini kila saa mnafuatilia wanaume wenzenu oooh flani kafanya hivi ooh flani alikuwa sehem flani. Umbea utawauwa. Ni wakati wa kubalehe
Aliyeanzisha hii thread ni mwongo. Hakuna wageni toka nishati na madini hapa Magogoni.
Kumbe ni rahisi sana kuchezea akili za Great Thinkers
Wewe kama nani wa kutuambia sisi nchi imeisha? Unaijuwa nchi hii ilipotoka? Na ilipo sasa?
Kama ni wezi na ushahidi unao unangoja nini kwenda mahakamani? Au polisi au takukuru? Kama umeshindwa yote hayo bi wewe ndie mwizi wa fadhila.