Kwanini walichoma makanisa?
Duh Kunani Zanzibar???
Duh weye Mdada upo? Habari nilizozipata hivi karibuni kule kwenu Yaeda Chini mnashindia Mizizi na Matunda kwa baa la njaa mlilonalo!Chunusi jirani......habari za siku tele.....
Kaka.....ubinadamu kwanza.....kuhukumu wacha mwenye nyumba yake ahukumu.......
Cha kufanya hapa ni kuwaombea walale pema peponi.......
Kwanini walichoma makanisa?