Jahazi la Clouds vs Maskani ya Times FM

Jahazi la Clouds vs Maskani ya Times FM

Mtanzania haswa

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2010
Posts
663
Reaction score
100
wana JF nipo sehemu nimekaa nasikiliza radio times na kuna kipindi cha Gadner G. Habashi kinaitwa Maskani. hiki kipindi kinaburudisha kwa story, muziki na burudani za michezo. kwa mtazamo wangu ni kipindi kizuri zaidi ya jahazi cha clouds fm. hakina makelele, masihara wala mambo ya kijinga kama yakina kibonde na wasiwasi wake. nimekompare kwa sababu ni vipindi vyote vya jioni. na ikumbukwe kuwa Gadner ni mwanzilishi pia wa jahazi inawezekana yeye alipoondoka basi kipindi kikapwaya na sasa uhondo upo Times . Huu ni mtazamo wangu tu wadau
 
Clouds ni moto wa kuotea masafa, usijisumbue na kipromo chako cha kishamba,hujui kuwa flavor zinatofautiana kati ya mtu na mtu, mfano kama wewe masihara na mizaha inakukera kwa mwingine ni flavor tena kubwa na iyo i miongon mwa sababu zinazochangamsha Clouds, for more than a Decade Clouds imezifunga tela Radio zote ilizozikuta na zilizoanzishwa baada yake, hata humu Jf mshaanzisha sana thread za kuponda lakin hamna kitu.Rugemutahabwa ni Marketier mzuri anepeleka sokoni bidhaa inayohitajika Clouds inakimbiza kwa sababu inapeleka huduma bora sokoni inayohitajika.kajifunze Market Penetration strategy utajua kwanini Clouds inakimbiza sana!
 
wana JF nipo sehemu nimekaa nasikiliza radio times na kuna kipindi cha Gadner G. Habashi kinaitwa Maskani. hiki kipindi kinaburudisha kwa story, muziki na burudani za michezo. kwa mtazamo wangu ni kipindi kizuri zaidi ya jahazi cha clouds fm. hakina makelele, masihara wala mambo ya kijinga kama yakina kibonde na wasiwasi wake. nimekompare kwa sababu ni vipindi vyote vya jioni. na ikumbukwe kuwa Gadner ni mwanzilishi pia wa jahazi inawezekana yeye alipoondoka basi kipindi kikapwaya na sasa uhondo upo Times . Huu ni mtazamo wangu tu wadau

si upunguze sauti ukisika makelele
 
wana JF nipo sehemu nimekaa nasikiliza radio times na kuna kipindi cha Gadner G. Habashi kinaitwa Maskani. hiki kipindi kinaburudisha kwa story, muziki na burudani za michezo. kwa mtazamo wangu ni kipindi kizuri zaidi ya jahazi cha clouds fm. hakina makelele, masihara wala mambo ya kijinga kama yakina kibonde na wasiwasi wake. nimekompare kwa sababu ni vipindi vyote vya jioni. na ikumbukwe kuwa Gadner ni mwanzilishi pia wa jahazi inawezekana yeye alipoondoka basi kipindi kikapwaya na sasa uhondo upo Times . Huu ni mtazamo wangu tu wadau

N kwel kabisa,hakuna umakin palipo na m2 kama Kibonde
 
me ndio maana nimesema ni mtazamo wangu na si promo kama wengi mnavyodai
 
Mimi huwa nakisubiri wikiendi kipindi cha 'From Kitongoji' cha Wapo Radio, kinashika kweli kweli
 
Maskani ya Gadna G Habash imetulia kwa anaejua ubora.. Me nimeshakua addicted na Gadna.. Kuna Ulimwengu wa Michezo na Clifford Ndimbo, Tripple Play na Edzen The Rocker, pia Mzee Chapuo.... Huwezi nitoa hapo...

ETI NASIKIA.........
 
Sio siri MASKANI imetulia sana kuliko hicho cha kibonde ye ni kampeni tu na masihara mengu tu kipindi kizuri cha clouds ni cha millard ayo tu.
 
jahazi ni braaaht braaaah......tu. clods naikubali sports etra
 
ZEMBWELA + NA IRENE SUPER MIX....

Phina Mango + SEBO MAKUTANO JUNCTIONaiseee..


 
ingawa kipindi cha maskani bado sijakisikiliza lakini naweza kusema siku za nyuma kipindi cha jahazi kilikuwa juu lakini siku hizi kimepungua mvuto.
 
Back
Top Bottom