Jacqueline Silemu wa ITV...

Jacqueline Silemu wa ITV...

Mu7

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2013
Posts
1,635
Reaction score
1,951
Jamani naomba nitoe langu la moyoni kuhusu mdada huyu anayeripotia luninga ya ITV. Ukweli ananivutia sana anavyoripoti matukio kiasi kwamba natamani taarifa yake iwe ndefu zaidi lakini mara nyingi zinakuwa fupi mno. Niuombe utawala wa ITV umhamishie kwenye kusoma taarifa kamili ya habari ili tufaidi umahili wa utangazaji wake. Ni ripota mwenye mvuto na anayeimudu vema kazi yake! Hongera sana da' Jack!
 
Mie ningekupa code yake lakini sikupi kwani katika list ya watu ninaoplan kuwapitia 2014 ni huyu..
maisha yenyewe mafupi

NAKULA UJANA.......

kula jomba kula lakini kwa tahadhali.
 
Kiukweli hata mie na baadhi ya marafiki zangu hapa including mke wangu huwa tunampenda sana huyu binti kwa kazi yake pamoja na yule mwenye maneno mengi anaye tangaza michezo
 
Nlishawahi kumuomba namba yake Mh Pasco wa JF akaniambia atanipa mpaka leo sijapata namba yake wadau mwenye namba yake arushe humu tumuendee hewani tujaribu bahati zetu,ana mvuto sana macho rangi yani kuntu.
 
Last edited by a moderator:
Jamani eee, kaene mbali na Jackline Nselem, hamjui shida niliyopata kumfikisha hapo. Isitoshe mahari nshatoa. Nitam-Mushi mtu. ohoooo!

Mbona mkononi kama ana ring? Au macho yangu yame overlook?
 
Wasimpe habari kwani muda wote atakaokuwa anasoma si utamtamani sana teheee

Nachompenda ana pete ya ndoa na mnajua kumtamani mke wa mtu ni kubeep uforosia au u mushi teheee

Jamani naomba nitoe langu la moyoni kuhusu mdada huyu anayeripotia luninga ya ITV. Ukweli ananivutia sana anavyoripoti matukio kiasi kwamba natamani taarifa yake iwe ndefu zaidi lakini mara nyingi zinakuwa fupi mno. Niuombe utawala wa ITV umhamishie kwenye kusoma taarifa kamili ya habari ili tufaidi umahili wa utangazaji wake. Ni ripota mwenye mvuto na anayeimudu vema kazi yake! Hongera sana da' Jack!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom