mosses15
JF-Expert Member
- Dec 27, 2018
- 987
- 2,249
Ni kweli mkuu, K lyn alikosea alipozidisha tamaa yaan apate sehemu kubwa kuliko familia ya mzee (watoto wakubwa)Jackline anatafuta kifo tu kugombea Mali ambazo hausiki nazo na amezikuta.
Muhaya hawezi kuwazidi akili wachaga, anajidanganya tu.
NB: Jack(K lyn) si mhaya.