Jacqueline Mengi aendelea kudondokea pua rufaa, mahakama yaondoa maombi yake ya kutaka kuurudisha wosia

Mkuu uzuri watoto watakuwa watu wazima watajiunga na ndugu zao. Hao watoto kwa wachagga hawataachwa na urithi watapewa kabisa maana hata shule walikuwa wanasomeshwa vizuri? Alipotaka kwenda kuishi Dubai kwa lile Danga lake ndiyo akaleta bill ya Ada ya kutupwa na familia Ika stop ushenzi huo. Yaani kukekule alikofia Baba yao na kulekule ambako walimkuta hayuko na mgonjwa!!!! Ndiko huko alipanga kupeleka watoto na yeye kuishi huko.
Kwa hyo unataka kusema licha ya jack kuolewa na mengi Hana haki ya kurithi?hamuoni Kama no dhuluma kwa mjane?mzee alishajichanganya waangalie kilicho chake wampe waachane kwa amani.na hao watoto ni lazma walelewe na mama yao kupitia fedha za baba yao.hauwezi kusema mpaka wakue ndo wapewe . Nani atawasomesha?
 
Alijitoa mwili wake utumike kwa manufaa ya baadae lazima uwe na master plan km wewe ni mwanamke mwenye akili, Jana niliwaeleza watu kua ukiona mtu anamtafuta mtu wa kuanzisha nae mahusiano ujue yupo kwenye mission maalum ila wapo waliopuuza, Jack kuingia kwenye mahusiano na babu Mengi ilikua ni special mission
Sawa sikatai lakini mbona alifunguliwa miradi ameiua ,au anataka awe CEO wa IPP na associates wake?
Ameachiwa Mali binafsi kma ule mjumba wa Moshi na zingine Bado tu anataka nyonya damu watoto wa Marehemu hivi Hawa akina abdiel Sio washirikina eeehhh!!!angekutana ma wachawi wa Kanda za Ziwa huko wangemtanguliza mbona na yeye mavumbini
Yaani anakomaa na Mali azozikuta hata km mke halali ila Hana uhalali wa Mali za Mengi....!!!

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Sawa sikatai lakini mbona alifunguliwa miradi ameiua ,au anataka awe CEO wa IPP na associates wake?
Ameachiwa Mali binafsi kma ule mjumba wa Moshi na zingine Bado tu anataka nyonya damu watoto wa Marehemu hivi Hawa akina abdiel Sio washirikina eeehhh!!!angekutana ma wachawi wa Kanda za Ziwa huko wangemtanguliza mbona na yeye mavumbini
Yaani anakomaa na Mali azozikuta hata km mke halali ila Hana uhalali wa Mali za Mengi....!!!

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hio inaitwa special mission na unapofanya special mission hauwi peke yako lazima uwe na kikosi maalum kinakua nyuma yako km under covers, shtuka mkuu
 
Huwa najiuliza sana, marehemu wakati yupo hai na anamkaza huyu sister kwanini hakumpa shea yake kabisa????
Maana kama Mengi angekuwa anampenda na anataka kumpa mali zake si angempa na kumilikisha wakati yupo hai.
Ila kwa wachagga huyu mama atajuta kuwajua. Tujipe muda
 
Hausiki nazo wakati mzee alishajitia kitanzi Cha ndoa na watoto kazaa nae?hilo balaa lao wanalo.wakimkataa jack Kama mke wa baba yao watamkubali Kama mama wa wadogo zao.kiufupi jack hakwepeki
Hata akiacha mali zigawanywe kwa usawa atapata share kubwa tu ukizingatia kamkuta mengi tayari ni tajiri.. anachozingua huyu dada anataka kupiga kila kitu kama vile wamehustle pamoja na mengi kutafuta izo mali
 
Huwa najiuliza sana, marehemu wakati yupo hai na anamkaza huyu sister kwanini hakumpa shea yake kabisa????
Maana kama Mengi angekuwa anampenda na anataka kumpa mali zake si angempa na kumilikisha wakati yupo hai.
Ila kwa wachagga huyu mama atajuta kuwajua. Tujipe muda
Alipewa sema hajaridhika tu..mpk miradi alifunguliwa ikafa alikua anauza sofa 10m kibongo bongo jamani ,mteja ampate wapiii!!!

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Jackline anatafuta kifo tu kugombea Mali ambazo hausiki nazo na amezikuta.

Muhaya hawezi kuwazidi akili wachaga, anajidanganya tu.

Sawa.nielimishe sasa.familia ya mengi inamkwepa vipi jack.na ukimbuke kuwa jack kaolewa na ndoa ya kanisani na hawakuachana na watoto wamezaa na mengi.
Ndoa sikitu na watoto sikitu na wosia sikitu kwenye mambo ya urithi, mahakama inachoangalia ni kuona haki inatendeka kwa watoto wa marehemu na mama zao na je mama wa watoto walichangia kiasi gani kwenye hiyo mali.
 
Huwa najiuliza sana, marehemu wakati yupo hai na anamkaza huyu sister kwanini hakumpa shea yake kabisa????
Maana kama Mengi angekuwa anampenda na anataka kumpa mali zake si angempa na kumilikisha wakati yupo hai.
Ila kwa wachagga huyu mama atajuta kuwajua. Tujipe muda
Kwani marehemu alijua ataondaka lini duniani?? Vilevile watu wengi uamini wosia na cheti cha ndoa wakati wosia na cheti cha ndoa si chochote mbele ya mahakama labda tu awe ni mke mmoja.
 
Back
Top Bottom