Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 37,411
- 79,657
Wangapi wanaweza kuafford hiyo IVF?Katika maisha ya sasa si Vyama kuadopt wakati IVF ipo
Wangapi wanaweza kuafford hiyo IVF?Katika maisha ya sasa si Vyama kuadopt wakati IVF ipo
Mwigizaji wa bongo movie Jacob Steven JB akihojiwa kwenye kipindi cha kikaangoni amefunguka kuhusu maisha yake na kusema ameoa lakini mpaka sasa hajabarikiwa kupata mtoto lakini ana furaha tele
Amedai pia ameokoka na hana mchepuko katika maisha yake kwa kuwa anaamini kuwa na wanawake wengi kunakuletea mabalaa katika maisha
Swala la kiafya, uzito nao hausaidii, awaone madaktari..[/MEDIA]
Mwigizaji wa bongo movie Jacob Steven JB akihojiwa kwenye kipindi cha kikaangoni amefunguka kuhusu maisha yake na kusema ameoa lakini mpaka sasa hajabarikiwa kupata mtoto lakini ana furaha tele
Amedai pia ameokoka na hana mchepuko katika maisha yake kwa kuwa anaamini kuwa na wanawake wengi kunakuletea mabalaa katika maisha
huwa sielewi mtu anapoleta dhihaka na masikhara kwenye swala la mtu mwingine kukosa mtoto, huyo makonda yes anamapungufu yake na msemeni kwa hayo sio kumdhihaki kwa kukosa mtoto, aliekupa wewe ndo aliemnyima yeye, na hata alipokuwa hakukupa na mkataba kwamba wako wewe wataishi milele na utaendelea kuwapataPole sana kada wa CCM, why don't you team up with Bashite halafu mkatafuta kwa Gwajima pale????
Acha kufikiri kibashite bashite, dhihaka hapo iko wapi???? Mungu wa Gwajima ndiyo kanipa watoto mimi. Nawaelekeza mahali alipo YESU KRISTO halafu weee unasema dhihaka. Bure kabisaaaa weee.........huwa sielewi mtu anapoleta dhihaka na masikhara kwenye swala la mtu mwingine kukosa mtoto, huyo makonda yes anamapungufu yake na msemeni kwa hayo sio kumdhihaki kwa kukosa mtoto, aliekupa wewe ndo aliemnyima yeye, na hata alipokuwa hakukupa na mkataba kwamba wako wewe wataishi milele na utaendelea kuwapata
Unamaanisha nini hapa?Mungu hakupi vyote,
Nami nlitaka kuuliza hivo hivo wanakomaa na fassionHivi kwa joto la dar Mtu unawezaje kuvaa mkoti hivyo?
hahaahahaahahahSipatiii picha JB akiwa anakwichkwich na mtumbo ule
Milele AminaTumsifu Yesu k
Kristo
Sipatiii picha JB akiwa anakwichkwich na mtumbo ule
AminaMilele Amina..
Amani ya Bwana iwe juu yako!!!
Nikutakie Kwaresma njema, kumbuka tupo juma la nne...
huyo huyo mungu wa gwajima ameshakusikiaAcha kufikiri kibashite bashite, dhihaka hapo iko wapi???? Mungu wa Gwajima ndiyo kanipa watoto mimi. Nawaelekeza mahali alipo YESU KRISTO halafu weee unasema dhihaka. Bure kabisaaaa weee.........