Jacob Steven (JB): Sijabarikiwa kupata mtoto mpaka sasa, sijawahi kuwa na mchepuko

Mwigizaji wa bongo movie Jacob Steven JB akihojiwa kwenye kipindi cha kikaangoni amefunguka kuhusu maisha yake na kusema ameoa lakini mpaka sasa hajabarikiwa kupata mtoto lakini ana furaha tele
Amedai pia ameokoka na hana mchepuko katika maisha yake kwa kuwa anaamini kuwa na wanawake wengi kunakuletea mabalaa katika maisha


Hivi kwa joto la dar Mtu unawezaje kuvaa mkoti hivyo?
 
Mwigizaji wa bongo movie Jacob Steven JB akihojiwa kwenye kipindi cha kikaangoni amefunguka kuhusu maisha yake na kusema ameoa lakini mpaka sasa hajabarikiwa kupata mtoto lakini ana furaha tele
Amedai pia ameokoka na hana mchepuko katika maisha yake kwa kuwa anaamini kuwa na wanawake wengi kunakuletea mabalaa katika maisha


Hawa wasanii hata siwaamini. Kama siku za nyuma aliwahi kuseama ana watoto zaidi ya 3 anezaa na wanawake tofauti.
 
Pole sana kada wa CCM, why don't you team up with Bashite halafu mkatafuta kwa Gwajima pale????
huwa sielewi mtu anapoleta dhihaka na masikhara kwenye swala la mtu mwingine kukosa mtoto, huyo makonda yes anamapungufu yake na msemeni kwa hayo sio kumdhihaki kwa kukosa mtoto, aliekupa wewe ndo aliemnyima yeye, na hata alipokuwa hakukupa na mkataba kwamba wako wewe wataishi milele na utaendelea kuwapata
 
Siijui familia alimokulia JB, na anavyosema kukosa mtoto hakumpi shida na ana raha zote, nashawishika kuamini kwamba JB hana dada.
 
huwa sielewi mtu anapoleta dhihaka na masikhara kwenye swala la mtu mwingine kukosa mtoto, huyo makonda yes anamapungufu yake na msemeni kwa hayo sio kumdhihaki kwa kukosa mtoto, aliekupa wewe ndo aliemnyima yeye, na hata alipokuwa hakukupa na mkataba kwamba wako wewe wataishi milele na utaendelea kuwapata
Acha kufikiri kibashite bashite, dhihaka hapo iko wapi???? Mungu wa Gwajima ndiyo kanipa watoto mimi. Nawaelekeza mahali alipo YESU KRISTO halafu weee unasema dhihaka. Bure kabisaaaa weee.........
 
Acha kufikiri kibashite bashite, dhihaka hapo iko wapi???? Mungu wa Gwajima ndiyo kanipa watoto mimi. Nawaelekeza mahali alipo YESU KRISTO halafu weee unasema dhihaka. Bure kabisaaaa weee.........
huyo huyo mungu wa gwajima ameshakusikia
 
Back
Top Bottom