ngoshwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2009
- 4,131
- 931
kumbe sio mtanzania, uyu jamaa mchafu sana, mbona anajiaibisha kufanya uchafu kama huo hapo kwenye picha...
mtz mwenye asili ya kiingereza...tabia, muonekano na mambo mengine.
Huyu Muzamil kesi kama hizo wala hazimtishi anazo zaidi ya 100 na polisi wala hawamsumbui na hajawahi kufungwa. Kwa kifupi nahisi wakuu wa polisi wako kwenye ''payroll'' yake!
Bongo tambarare.
hii mutu ni chafu, weka ndani haraka sana...mbona ana mambo ya ajabu...na huyo msichana naye mshamba sijui kamwokota wapi....
samahani uyu jamaa ana umuhimu gani hapa tz, yaani ni nini anachofanya hadi anakuwa famous kuumiza vichwa vya watu..kwasababu nimetype google nimekutana na mipicha yake ya ajabu, mingi anachekecheka tuuuu, amezungukwa na wanawakeee, mara amepiga picha na mwanae wanayesema alimtelekeza, kuna mambo ya ajabu..ana nini huyu haswa?mwenye cv yake weka hapa.
http://1.bp.blogspot.com/_GKcbi1xLxZk/SnQ2U9xbBcI/AAAAAAAABZQ/PUfz85dl9L4/s320/S5000385.JPG
Upedejee sio lelemama.
Rudi shamba ukalime, usije ozea jela buree
Ni Aunt Ezekiel yule star uchwara ktk bongo movie.