Best home tutor
Senior Member
- May 8, 2026
- 194
- 264
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam limewakata Watu wanne kwa tuhuma za kuhusika na mauaji ya raia wa China, Baozhang Ge.
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam, SACP Jummane Muliro amethibitisha kukamatwa kwa Watu hao katika maeneo tofauti ndani ya Tanzania ambapo walithibitha kuhusika na mauaji hayo pamoja na kuchukua kiasi cha fedha shilini milioni tisa.
Baozhang Ge alikuwa Mmiliki wa Kiwanda cha Kuchakata Makopo maeneo ya Mabibo, ambapo aliuawa Mei 16, 2026.
#MillardAyoUPDATES
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam, SACP Jummane Muliro amethibitisha kukamatwa kwa Watu hao katika maeneo tofauti ndani ya Tanzania ambapo walithibitha kuhusika na mauaji hayo pamoja na kuchukua kiasi cha fedha shilini milioni tisa.
Baozhang Ge alikuwa Mmiliki wa Kiwanda cha Kuchakata Makopo maeneo ya Mabibo, ambapo aliuawa Mei 16, 2026.
#MillardAyoUPDATES