Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,166
- 4,581
Mkuu wa wilaya ni mjumbe wa kamati lukuki za CCM ndani ya wilaya yake.
Mwalimu kama mtumishi wa umma anatakiwa asiwe mwanasiasa na asijihusishe na siasa.
Polisi na hata wanajeshi pia.
Inakuwaje?
Rais anateua wakuu wa wilaya walimu?
Mwalimu kama mtumishi wa umma anatakiwa asiwe mwanasiasa na asijihusishe na siasa.
Polisi na hata wanajeshi pia.
Inakuwaje?
Rais anateua wakuu wa wilaya walimu?