CARDLESS
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 7,786
- 15,741
Matatizo ya Akili yapo, Yaan Dar iwe na Wakristo wengi kuliko Waislam kwa akili yako?Lini ulifanya sensa ya kujua Dar inawaislamu kuliko wakristu.
Matatizo ya Akili yapo, Yaan Dar iwe na Wakristo wengi kuliko Waislam kwa akili yako?Lini ulifanya sensa ya kujua Dar inawaislamu kuliko wakristu.
Hili halihitaji sensa babu,ni sawa na kusema mbeya au Arusha Kuna wakiristo wengi kuliko waislam,iko waziLini ulifanya sensa ya kujua Dar inawaislamu kuliko wakristu.
Mwinyi ndio alianzisha mambo yabkujenga misikiti kwenye open space za ummaIweje kwenye maeneo ya serikali ijengwe misikiti? Soko la kukaangia samaki Ferry kuna msikiti, nanunaendelea kujengwa.
Mwenge kuna msikiti uliojengwa tangu miaka ya 1974, lakini serikali inajenga msikiti mwingine hapo kwenye stand mpya ya daladala. Umbali kutoka msikiti mkubwa hadi huo msikiti mpya hata mita 100 hazifiki.
Badala ya serikali kujikita kwenye kuboresha miundombinu, yenyewe imekuwa busy na shughuli za kidini
Hayo makanisa Mbeya yamejengwa kwenye maeneo ya umma au ni maeneo binafsi yanayomilikiwa na makanisa?Basi huna akili? Sasa unashangaa DAR kuwa na misikiti MINGI? Kwa Taarifa yako, DAR ni moja ya mikoa ambayo majority ni WAISLAM na utamaduni wao ni huo wa KIISLAM kwa sehemu kubwa.
Inashangaza MBEYA kila hatua 3 kuna KANISA na hakuna malalamiko, wakati mwingine mjue kuna kanda ziko DOMINATED na WAISLAM KWA ZAIDI YA 90% hivyo ujenzi wa misikiti ni kawaida.
DAR, TANGA, LINDI, TABORA, MTWARA, MOROGORO, PWANI hayo maeneo MISIKITI ni MINGI kuliko MAKANISA
Ukisha mjua mtu msumbufu, kula nae vizuri tu... Ili asikusumbue mbeleni..Iweje kwenye maeneo ya serikali ijengwe misikiti? Soko la kukaangia samaki Ferry kuna msikiti, nanunaendelea kujengwa.
Mwenge kuna msikiti uliojengwa tangu miaka ya 1974, lakini serikali inajenga msikiti mwingine hapo kwenye stand mpya ya daladala. Umbali kutoka msikiti mkubwa hadi huo msikiti mpya hata mita 100 hazifiki.
Badala ya serikali kujikita kwenye kuboresha miundombinu, yenyewe imekuwa busy na shughuli za kidini
Lakini makanisa mengi yenye maeneo makubwa mijini walijenga wazungu miaka ya nyuma na ndio maana mpaka sasa haijavunjika na itakuwepo sanaSio hilo tuu, lingine serikali huomba mataifa ya nje kujenga misikiti, sijawahi ona ikiomba msaada wa wakristo kujengewa makanisa
Ndio unajengwa sasa. Utafanya nini?Iweje kwenye maeneo ya serikali ijengwe misikiti? Soko la kukaangia samaki Ferry kuna msikiti, nanunaendelea kujengwa.
Mwenge kuna msikiti uliojengwa tangu miaka ya 1974, lakini serikali inajenga msikiti mwingine hapo kwenye stand mpya ya daladala. Umbali kutoka msikiti mkubwa hadi huo msikiti mpya hata mita 100 hazifiki.
Badala ya serikali kujikita kwenye kuboresha miundombinu, yenyewe imekuwa busy na shughuli za kidini
Povu jingi akili kisoda. Umeambiwa kujenga kwenye maeneo ya umma au serikali. Unaelewa maana yake? Hajazungumzia misikiti mingi au michache. Wewe vipi?Basi huna akili? Sasa unashangaa DAR kuwa na misikiti MINGI? Kwa Taarifa yako, DAR ni moja ya mikoa ambayo majority ni WAISLAM na utamaduni wao ni huo wa KIISLAM kwa sehemu kubwa.
Inashangaza MBEYA kila hatua 3 kuna KANISA na hakuna malalamiko, wakati mwingine mjue kuna kanda ziko DOMINATED na WAISLAM KWA ZAIDI YA 90% hivyo ujenzi wa misikiti ni kawaida.
DAR, TANGA, LINDI, TABORA, MTWARA, MOROGORO, PWANI hayo maeneo MISIKITI ni MINGI kuliko MAKANISA
Mkisha changishana kujenga hayo mashule sisi waislam , wakristo na wapagani wenye pesa zetu tunaleta watoto wetu wanasomea kwenye hizo shule, alafu nyinyi wakristo makapuku mlio changa kuzijenga hizo shule watoto wenu wanaenda kusomea kayumba.Waislamu wako busy kujenga misikiti maeneo ya umma na Wakristo wako busy na ujenzi wa mashule na vyuo vikuu. Ni maswala tu ya kipaumbele
Ardhi yote ya nchi hii ni ya serikali hakuna anaye miliki ardhi ndani ya nchi hii zaidi ya serikali.Povu jingi akili kisoda. Umeambiwa kujenga kwenye maeneo ya umma au serikali. Unaelewa maana yake? Hajazungumzia misikiti mingi au michache. Wewe vipi?
Hao waislam ni dhaifu lakini wanawa pelekesha mpaka haiwezi pita siku hamjawaanzishia uzi wa kuwajadili.Waislamu ni dhaifu sana
Hawajiamini
Nyie watu mna roho mbaya sana na mnatamani muitangaze nchi ni ya dini yenu na nyingine zote marufuku sema mnashindwa,huko serikalini si mmejazana sasa mnashindwa nini kujenga za kwenu pia, si mnaona wenzenu wanafaidi!Iweje kwenye maeneo ya serikali ijengwe misikiti? Soko la kukaangia samaki Ferry kuna msikiti, nanunaendelea kujengwa.
Mwenge kuna msikiti uliojengwa tangu miaka ya 1974, lakini serikali inajenga msikiti mwingine hapo kwenye stand mpya ya daladala. Umbali kutoka msikiti mkubwa hadi huo msikiti mpya hata mita 100 hazifiki.
Badala ya serikali kujikita kwenye kuboresha miundombinu, yenyewe imekuwa busy na shughuli za kidini
Hiyo ni sera ya ccm zidi ya BakwataIweje kwenye maeneo ya serikali ijengwe misikiti? Soko la kukaangia samaki Ferry kuna msikiti, nanunaendelea kujengwa.
Mwenge kuna msikiti uliojengwa tangu miaka ya 1974, lakini serikali inajenga msikiti mwingine hapo kwenye stand mpya ya daladala. Umbali kutoka msikiti mkubwa hadi huo msikiti mpya hata mita 100 hazifiki.
Badala ya serikali kujikita kwenye kuboresha miundombinu, yenyewe imekuwa busy na shughuli za kidini
umejibu vizuri lakini wakati mwingine jaribu kuepuka kumjibu mtu kwa kumdhalilisha na hasa linapokuja swala la imani maneno kama (huna akili,mpumbavu,mjinga) yanaweza kusababisha ujumbe wako kwake usifike mweleze kwa unyenyekevu kwa kuwa anahitaji kujifunza pia.Basi huna akili? Sasa unashangaa DAR kuwa na misikiti MINGI? Kwa Taarifa yako, DAR ni moja ya mikoa ambayo majority ni WAISLAM na utamaduni wao ni huo wa KIISLAM kwa sehemu kubwa.
Inashangaza MBEYA kila hatua 3 kuna KANISA na hakuna malalamiko, wakati mwingine mjue kuna kanda ziko DOMINATED na WAISLAM KWA ZAIDI YA 90% hivyo ujenzi wa misikiti ni kawaida.
DAR, TANGA, LINDI, TABORA, MTWARA, MOROGORO, PWANI hayo maeneo MISIKITI ni MINGI kuliko MAKANISA
punguza ukali wa maneno na hili lilikuwa zamani siku hizi wanafanya vizuri na hii imetokana na malezi mabaya wakristo tunayowapa watoto wetu kifupi tumedekeza mno watoto kiasi tumeshindwa kuwajengea msingi wa kujitegemea.Waislamu hawajiwezi hawawezi panga vitu.. Wanachoweza ni lawama