siku wakoloni wakirudi
Wakoloni wa vipi? Mbona wapo hata sasa!siku wakoloni wakirudi
Mbona hata tusipowapa wanazichukua!Hata arudi nani, mtaishia kuota tu.....suluhisho, acheni kuwapa kura mafisadi zenu.
leo nilikuwa sijacheka tangu athubuhi athee!!Mbona hata tusipowapa wanazichukua!
mkuu nakubaliana na wewe japokuwa watu watapinga na na sisi ila huu ndio ukweli wenyewe
moshi walishafika siku nyingi!