Hivi kweli Azam HD sport inaingia kwenye other?
..Hivi claudiz wanavipindi gani... Au mmenunua viewers
hahaah!! ni utafiti tu!Hivi kweli Azam HD sport inaingia kwenye other?
Kwani ni kituo gani kimechukua tuzo jamani, msipelekwe na mihemko ya kisiasa.Twakimu za kupikwa hizo Cloudz over ITV yaani Isidingo imekosa kabisa watazamaji?
Kumbe iendelee kuwepo ili uje uiangalie ukiwa mzeenilipenda sana kuangalia ITV nikiwa tz,but majuzi nimerudi nikakuta vipindi havina mvuto kabisa.I think wanatakiwa wabafilike,mfano Isidingo sidhani kama inawagazamaji wengi.Nadhani inabadilika sasa na kua TV ya wazee.
Hapa JF kuna mtu aliwahi kusema ukitenga mafungu mawili moja la kinyesi na lingine la asali, nzi watajazana kwenye kinyesi............ndio kinachotokea kwenye media zetu.aiseehh!hivi mtu makini ataangalia clouds kweli
hii nchi wajinga wengi utakuta jitu zima linaangalia shilawadu daahhh!!
halafu mnataka Tanzania ya viwanda...
Wajinga ndo wengi kuliko waerevu na kwa mantiki hiyo kama unaweza kuwavuta wajinga basi wewe ndo unakuwa na watazamaji wengi ambao ndo mtaji wa hivi vituo.aiseehh!hivi mtu makini ataangalia clouds kweli
hii nchi wajinga wengi utakuta jitu zima linaangalia shilawadu daahhh!!
halafu mnataka Tanzania ya viwanda...
Huo ni unafiki tu unasema hupendi lakini wewe ndiye nambari 1 kuangalia clouds.yaani ujinga mtupu....!!!clouds kabisa halafu wanashangaa kufeli DSM mitihani ya form four...
yaani siipendi hiyo chaneli
ujinga mtupu
Twakimu za kupikwa hizo Cloudz over ITV yaani Isidingo imekosa kabisa watazamaji?
Naona clouds digital mko kazini na tafiti zenu janja janjaHivi claudiz wanavipindi gani... Au mmenunua viewers
ITV ndo unaifananisha na kina mwewe?!! Yaani wewe ndo umekosa mwelekeo kabisaa. Hamna channel inayoonyesha habari zenye kiwango kama ITV
Itv siyo superbrand tena kiti kimeshachukuliwa na Azam wewe uko wapi kwanza mm kwangu siangalii hiyo channel yenuClouds itakua inaangaliwa sanaa na watoto labda na wafanyakazi wa ndani mtu anaye. Jielewa awezi angalia zaidi ya kipindi kimoja clouds ata habari yao mbovuu.Keep it up super bland ITV Akuna kama nyie
Nani Cloudz ?Naona clouds digital mko kazini na tafiti zenu janja janja