Ringo Edmund
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 4,879
- 1,125
KATIKA HABARI YENU KICHWA CHA HABARI KINASEMA CHADEMA WAJITOKEZA KWA WINGI KATIKA MKUTANO WAO.
swali langu ni kuwa mna ushahidi gani kuwa waliojitokeza ni chadema peke yao?
kwa nini mmeanza vizuri mnataka kumaliza vibaya kwa kitu ambacho hakina maana?
wale waliorudisha kadi hamjawaona?na kama mmewaona kwa nini mpoteshe dsakika za mwisho?
swali langu ni kuwa mna ushahidi gani kuwa waliojitokeza ni chadema peke yao?
kwa nini mmeanza vizuri mnataka kumaliza vibaya kwa kitu ambacho hakina maana?
wale waliorudisha kadi hamjawaona?na kama mmewaona kwa nini mpoteshe dsakika za mwisho?