sexologist
JF-Expert Member
- Dec 5, 2010
- 2,276
- 976
- Thread starter
- #41
Nendeni TBCccm ndio hurusha habari za kimagamba magamba,
Hapa sijakuelewa mkuu.. Dont suffer etc.. End of Thinking Capacity..
Nendeni TBCccm ndio hurusha habari za kimagamba magamba,
Hata mie nimeshangaa hawajatangaza habari za mikutano ya Tundu Lissu jimboni kwa Mwigulu na ile mikutano ya kamanda Mawazo wameipotezea pia. Hata habari ya Sugu kutunukiwa PhD ya heshima na TEKU pia hawajaitangaza.
Mbona Star tv hawatangazi mikutano ya Dr. Slaa lakini wanafuatilia hata habari mitaani kuhusu Zito?
Angalieni kigoma Tv mtamuona nyang'au yule
Hivi star tv wana nini na CDM mbona wanatangaza ya Zito wanaacha ziara ya Dr.Slaa?
Mleta uzi tunaomba na wewe utupe majibu yako katika hili.
Lakna hukunielewa mkuu, soma vizuri post!
Hivi star tv wana nini na CDM mbona wanatangaza ya Zito wanaacha ziara ya Dr.Slaa?
Mleta uzi tunaomba na wewe utupe majibu yako katika hili.
Nafahamu, lakini mi nimezungumzia ITV, labda kama hujaelewa!
By the way, sipo Dar!
1. ITV mali ya R. Mengi
2.Reporter: Devota Minja
3.Cdm mmiliki E.Mtei
4.M/kiti Freeman Mbowe.
Unategemea watangaze habari za,
zitto zuberi kabwe,muha wa kigoma kweli!
We kilaza unamwambia kila mtu hajakuelewa. Hivi hapo umeandika Schrodinger equation hadi watu wote wasikuelewe? Kilaza kweli wewe. Unashupaa mishipa ya shingo kwa tv ya Mengi? mwambie mama yako akazae na mengi halafu uwe unainfluence habari za kutokea itv. pumbafu
1. ITV mali ya R. Mengi
2.Reporter: Devota Minja
3.Cdm mmiliki E.Mtei
4.M/kiti Freeman Mbowe.
Unategemea watangaze habari za,
zitto zuberi kabwe,muha wa kigoma kweli!
How can I report this to mods?
Tubishane kwa hoja sio matusi.. Kama hukuelewa topic, ungesema ningejaribu kuandika kwa lugha yako!
ITV ni news according to Dr Mengi anavyotaka