ITV na Channel 10 zaungana na TBC?

ITV na Channel 10 zaungana na TBC?

Bora ya sie wtt wa kambo.....tabu tumezoea
tukitangazwa poa,tusipotangazwa poa..siasa zinaendelea kama kawa
 
Mi nilishawapotezea siku nyingi hata King'amuzi sijanunua. Mi chanzo changu cha habari ni Jamii Forum gwiji la HAbari Tanzania.

wabongo kwa visingizio hamjambo, kwan king'amuzi kinaonesha Taarifa ya habari peke yake? Hali ikitengamaa nunua hata cha Startimes!
 
Chadema mlitaka hiyo habari iripotiwe ili iweje ?
Mpate huruma ?

Halafu vyombo habari havilazimishwi kutoa Habari kama mnavyotak nyinyi...
Anzisheni CHADOMO TV mtoe habari za milipuko 24/7
 
mimi mwenyewe nimeshuhudia hicho unachokisema.
Itv ni kituo kinachofanya kazi kwa woga sana, nahisi habari zao mara kadhaa serikali na makada wa ccm wanazi-screen kwanza.

Ni muhimu chadema kuwa na media zake kuliko kutegemea hizi za wajanjawajanja.

naamini wakizianzisha hakuna media itazifikia hata kidogo...hakika.
 
Nilitoa rai juzi kuwa tususie vyombo vya habari vya R. Mengi kama ITV, RADIO ONE, magazeti ya NIPASHE na GUARDIAN etc na bidhaa zote za IPP kwani huyu mzee amegeuza vyombo vyake vya habari kuwa vya serikali.

Tuanzishe CHADEMA TV hata kwa michango.
 
Chadema mlitaka hiyo habari iripotiwe ili iweje ?
Mpate huruma ?

Halafu vyombo habari havilazimishwi kutoa Habari kama mnavyotak nyinyi...
Anzisheni CHADOMO TV mtoe habari za milipuko 24/7

Shika adabu wewe!!
 
Kazi kulalama tu,kila mikutano mnachangishana muulize lema na mbowe wanapeleka wapi michango?au mnachanga tu bila kuambiwa matumizi?kweli wajinga ndio waliwao,
Fungueni tv yenu sio kulazimisha vyombo huru vitoe habari zenu za uongo uongo kila siku
 
Nilitoa rai juzi kuwa tususie vyombo vya habari vya R. Mengi kama ITV, RADIO ONE, magazeti ya NIPASHE na GUARDIAN etc na bidhaa zote za IPP kwani huyu mzee amegeuza vyombo vyake vya habari kuwa vya serikali.

Tuanzishe CHADEMA TV hata kwa michango.

Wewe itakuwa huwajui wachaga vizuri...
Wachaga si rahisi kususia Bidhaa za Machaga Mwenzao...

Kuna Rafiki yangu wa karibu sana mchaga ....
Mrema Alivyokuwa CCM..Kwao walitundika Bendera ya CCM
Alivyohamia NCCR...wakatundika ya NCCR...
Alivyohamia TLP wakatundika ya TLP....

CHADEMA walivyomsimamisha Mbowe tu wakatundika ya CHADEMA...

VIVA CHAGAS
 
jamani kwani hamjajua tu kuwa cdm inapenda attention?? they are surfering from attention seeking disorder
 
Kwni kuna kituo cha habari kinaitwa TBC nilisha sahau kitambo kama kuna tbc.
 
Kwani hamjui hata suala la ving'amuzi ni janja ya serikali ya ccm kuwazimia watu wasione habari za cdm! Na kwa kweli baada ya kuzima ni robo tu ya wananchi wanapata habari..
 
''mapambano lazima yasonge mbele, hakuna kukata tamaa tusonge mbele
mapambano ni magumu lazima kuwe na vizingiti yatupasa kupambana bila kukata tamaa''
 
Ni wakati umefika CDM wafungue kituo chao cha radio na TV. Uwezo mnao, kama hamna anzisheni harambee na watu wengi watachangia sana. Kutegemea vyombo vya habari ambavyo wamiliki ni wa nyama vingine vya siasa hasa CCM au vile ambavyo wahariri walishanunuliwa mtakuwa mnapoteza nguvu nyingi sana bila impact. Communication is power!!

Bila kumung'unya Maneno, Mbowe ndo kikwazo juu ya kuanzisha vyombo vya habari vya chama ( TV,Radio na magazeti) kwani vitamharibia yeye kwenye biashara zake ( Tanzania Daima).
 
Hawa wote ni magamba. Tuwasusie.
Khaa!!! wewe ndiyo mlevi kweli!! Hivi kwa akili yako unadhani kila mtu ni Chadema!! Hebu tuache siasa zisizo na tija tuchape kazi tuiendeleze nchi. :heh:
 
Ni wakati umefika CDM wafungue kituo chao cha radio na TV. Uwezo mnao, kama hamna anzisheni harambee na watu wengi watachangia sana. Kutegemea vyombo vya habari ambavyo wamiliki ni wa nyama vingine vya siasa hasa CCM au vile ambavyo wahariri walishanunuliwa mtakuwa mnapoteza nguvu nyingi sana bila impact. Communication is power!!
Khaa!! nawaza hiyo TV itakavyokuwa! 24/7 ni video za miili ya binadamu iliyotapakaa damu na kuchanwanwa vibaya. I ll never let my kids watch this station:heh:
 
Back
Top Bottom