ITV na Channel 10 zaungana na TBC?

ITV na Channel 10 zaungana na TBC?

mi naona bora pia
ianzishwe JF TV,itatuhabarisha vizuri sana,ujue mm wala huwa siangalii
hyo miTV yenu,habari nyingi current huwa nazipakuwa huku JF

nimewahi ona hm hata kwenye majukwa cdm wakiisia itv na kuita ni tv ya taifa,,,,cdm wajinga sana akili ndogo kuongoza akili kubwa hkn tv itakayoendelea tangaza ujinga na ugaidi wenu
 
Katika hali ambayo imenishangaza ni vituo hivi vya habari yaani ITV na Channel 10 kutoonyesha habari za press iliyoitishwa na Chadema makao makuu kuhusiana na sakata la katibu wa Chadema kanda maalumu ya Dar es salaam bwana Henry Kileo pamoja na makamanda wengine wanaoshikiliwa na polisi kwa wanachodai kummwagia kada wa ccm tindikali. Imenishangaza sana kuona habari hii ikirushwa na kituo cha Star tv peke yake.

Angalizo langu katika vyombo hivi vya habari ni kwamba wajitathmini na kufanya kazi zao kwa uhuru pasipo kukubali mashinikizo ya ccm na vyombo vyake la sivyo tutavisusia kama ilivyo kwa TBC.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums


Wanafikiri kuwa SUPERBRAND ni kujiita!
 
Ni wakati umefika CDM wafungue kituo chao cha radio na TV. Uwezo mnao, kama hamna anzisheni harambee na watu wengi watachangia sana. Kutegemea vyombo vya habari ambavyo wamiliki ni wa nyama vingine vya siasa hasa CCM au vile ambavyo wahariri walishanunuliwa mtakuwa mnapoteza nguvu nyingi sana bila impact. Communication is power!!
 
Msivilaumu vyombo vya habari. Sasa hivi hii serikali ya kigaidi imekuwa tishio! Waandashi wangependa kutoa habari kwa ufasaha; bila upendeleo wowote, lakini wana hofu. Wanaogopa kunyofolewa kucha na meno!!!
 
Katika hali ambayo imenishangaza ni vituo hivi vya habari yaani ITV na Channel 10 kutoonyesha habari za press iliyoitishwa na Chadema makao makuu kuhusiana na sakata la katibu wa Chadema kanda maalumu ya Dar es salaam bwana Henry Kileo pamoja na makamanda wengine wanaoshikiliwa na polisi kwa wanachodai kummwagia kada wa ccm tindikali. Imenishangaza sana kuona habari hii ikirushwa na kituo cha Star tv peke yake.

Angalizo langu katika vyombo hivi vya habari ni kwamba wajitathmini na kufanya kazi zao kwa uhuru pasipo kukubali mashinikizo ya ccm na vyombo vyake la sivyo tutavisusia kama ilivyo kwa TBC.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

Hata channel ten ambao nilitegemea wangepambana kutetea uonevu na ukatili aliofanyiwa mwangosi? Kwa itv siwezishangaa kwani mengi ashajitangazia kuwa yeye ni ccm na kutuonyesha kadi yake ya chama kwahiyo kufanya mambo kama hayo nisingeshangaa japo si jambo jema kwani tv yake inaangaliwa na makada wa vyama tofauti tofauti na hata wadhamini wanatarget tofauti
 
Katika hali ambayo imenishangaza ni vituo hivi vya habari yaani ITV na Channel 10 kutoonyesha habari za press iliyoitishwa na Chadema makao makuu kuhusiana na sakata la katibu wa Chadema kanda maalumu ya Dar es salaam bwana Henry Kileo pamoja na makamanda wengine wanaoshikiliwa na polisi kwa wanachodai kummwagia kada wa ccm tindikali. Imenishangaza sana kuona habari hii ikirushwa na kituo cha Star tv peke yake.

Angalizo langu katika vyombo hivi vya habari ni kwamba wajitathmini na kufanya kazi zao kwa uhuru pasipo kukubali mashinikizo ya ccm na vyombo vyake la sivyo tutavisusia kama ilivyo kwa TBC.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

Halafu cha Ajabu wako Mstari wa Mbele Ku Report Maandamano ya Brazil
 
ITV nao wameanza unkilaza aiseee, mbona ndo kituoo pekee ambacho ndo huwa kinamuita lowasa kuwa waziri mkuu aliyejiudhuru na sio mstaafu kaa wengne? Duuuh!
 
Hakuna haja ya kulalamika wala kushangazwa hizo TV ni za watu binafsi wanarusha matangazo yao kwa mujibu wa taratibu zao, hili kukata mzizi wa fitina anzisheni TV yenu.
 
Mimi mwenyewe nimeshuhudia hicho unachokisema.
ITV ni kituo kinachofanya kazi kwa woga sana, Nahisi habari zao mara kadhaa serikali na makada wa CCM wanazi-screen kwanza.

Ni muhimu CHADEMA kuwa na Media zake kuliko kutegemea hizi za wajanjawajanja.
Mimi siku hizi niko Star TV na mambo ni bomba. Superbrand no. 1 wamechuja sana. StarTV wana news items nyingi na tena huzizungumzia kwa kirefu.


Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
wanaweweseka na kivuli cha mauaji waliyoyasababisha wenyewe

Na kwa MUNGU ukaseme hivihivi.Chizi wenu Mwigulu alisema anaushahidi hata mbinguni cha ajabu mbele za watu kashindwa kuutoa,Kwa MUNGU anaejua vyote na afichwi jambo lolote sijui angotoa ushahidi gani.Ushahidi mnaoujua ni wa kuzimu tu kwa MUNGU ni haki tu.Mnamtumikia WASIRA na kauli ya tutaua chadema mwaka huu.Angalieni isije ikawa utabiri kama wa shekh YAHAYA kuna mgombea atakufa matokeo kafa yeye.
 
Tatizo la baadhi ya wanaCHADEMA wanasahau au hawajui kama wako kwenye mapambano makali ya kisiasa.

Huu siyo muda wa kulalamika bali ni muda wa kutafakali hali halisi ya nje na ndani ya chama chenu kuhusiana na kitengo cha habari.

Kuna watu walikuwa wanabainisha hapa kuwa CHADEMA kwa sasa ni 'GUMZO' la mjini kwa maana kuwa kama chombo cha habari hakijaigusa CHADEMA katika habari zake basi hata biashara yao ya habari inadoda. Sielewi kama ilikuwa ni 'hot cake' kwa mazuri au mabaya.

Kama hizo zilikuwa ni statement za kweli, basi ni wakati wa kujiuliza kwa nini sasa private media zimeanza kuikimbia hii 'hot cake'.

Tafuteni majibu na siyo maswali na lawama.

Lawama hazijengi bali zinabomoa.
 
Ni kweli ITV siku za karibuni imekuwa na mwenendo unaotia mashaka. Uhuru wao unaonekana kuathiriwa na sintofahamu.
 
Mkivisusia ndio vitakufa?mamburura nyie msioshi kutapata.
 
Mi nilishawapotezea siku nyingi hata King'amuzi sijanunua. Mi chanzo changu cha habari ni Jamii Forum gwiji la HAbari Tanzania.
 
Hakuna haja ya kulalamika wala kushangazwa hizo TV ni za watu binafsi wanarusha matangazo yao kwa mujibu wa taratibu zao, hili kukata mzizi wa fitina anzisheni TV yenu.

kama wameshindwa kuanzisha walau kijigazeti cha Page 4 wataweza TV? Hizo ni Fursa za kibiashara za Mbowe kupitia kampun yake ya Free media inayozalisha kile kipeperush cha Tanzania Daima so kuwaletea ushauri wa kuanzisha chombo cha habari cha Chama ni kumnyima Fursa Supervisor wa Chama cha Mkwe!
 
ITV Kwani ya Kibaraka wa CCM Yaani Mengi?. Kwa hivyo, hawezi kuamrisha kutangazwe habari ya kuwaumbua CCM wenziwe kea udhalimu wanaoufanya
 
Back
Top Bottom