ITV: Mabasi yaegeshwa kituoni Ubungo kutokana na kudorora kwa abiria

Ufo saro anaripoti mdororo wa abiria katika kituo cha ubungo na madereva na wabeba mizigo wanalalamika hali imekuwa ni ngumu

Inategemea na kampuni kilimanjaro dar express wamelemewa abiria niko ubungo toka saa11 hata dalili ya kupata tiket hamna gari zimejaa hadi tar 26 watu wengi sana
 
Na hapo tulikuwa tunamalizia masalia ya Baba riz, sasa ndio tunaingia mwaka OG wa Yohana.
This time watu wasipopiga mbizi au kutembea kwa miguu, mpaka majumbani kwao sijui.
Mmh... sitaki kuwa wa kwanza kuamini
 
Panajaa kwenu mkuu (sijui wapi?) Maana mahali pengi hali ni tete, bar na grocery wafanyakazi wanapunguzwa. Vituo vya nyama ya kitimoto wanapunguza idadi ya kilo, club Wateja ni kiduchu. Hii ni kwa mujibu wa maeneo niliyotembelea hivi karibuni.

Sina hakika sana na huko madanguroni.
Chief hali pia ktk madanguro ni tete wauzaji wengi wanunuzi hamna wa2 imefika hatua wana negotiate kutoka 5000 hadi 3000 kwa goli.
 
Mwenye Grocery kaniomba nikiwa sina hela nisiwe na wasiwasi ameanzisha kadaftari kwa ajili yangu kutunza kumbukumbu maana nilikuwa mteja wake kila siku ila siku hizi naenda mara moja kwa wiki!
 
Ufo saro anaripoti mdororo wa abiria katika kituo cha ubungo na madereva na wabeba mizigo wanalalamika hali imekuwa ni ngumu

there're some people who take pleasure seeing people suffer. you just have to pray you're not on the wrong side of his/her opinion.

it's inborn!
 
Wa2 wameenda na usafiri wao binafsi kule Moshi.
Kwe2 ss wachaga ni ufahari..
 
1482241112329.jpg
Tafsiri halisi ya hali ya sasa. Moja ya sehemu "hupikwa na kuliwa" ni katika mandhari hizi lakini twaishia maembe. Jamani kitaa hapafai!
 
Nani kakwambia mabasi ya kwenda huko hupati ticket mpaka tarehe 25 labda waongeze mengine nenda kashuhudie usisubiri kusimuliwa.

Mkuu nimeuliza swali wala sijatoa conclusion.....

"A question has never been a premise,
since a conclusion should be a premise,
therefore a question has never been a conclusion!!!"
 
Back
Top Bottom