Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 13,734
- 27,098
wakati wandishi wao wa habari wana soma habari ni kama midoli kuna kipindi nilijiuliza hivi huwa nanatizama wanacho kirusha kweli
Hili ndo Jibu.. Jamaa kwenye production wanatoa HD lakini wenye ving'amuzi wanacompress kwenda SD kupunguza gharama.Tv matraco hii tunaipenda sana, imetukuza hadi kufikia hapa, mzee wangu tangu utoto wake amelikuta lile Isidingo, name nimelikuta na nikategemea kuwalisisha wajukuu zangu ila bahati mbaya limejifia hapo mwaka juzi tu.
i think wana audience specialITV hivi kwanini hamtumii HD mi siwaelewi mjue japo na nyie Sasa ni ITVCCM ila jitahidini muwe HD bana. Mnashindwa na pacha wenu TBCCM?
kuna makala,habari, music.soka nkSasa unaangalia nini kwenye TV?