Leo hawakutoa takwimu kuhusiana na swali walilouliza ikiwa Lowassa kuhamia UKAWA kutabadili siasa za Tanzania.
Wameishia kusoma meseji sita kwa uwiano wa 3:3 bila kutusomea asilimia kama siku zote.
Wajue tu kuwa ni maoni ya wananchi na si ya kituo. Hawakupaswa kuhofia